OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Habari wakuu,
Kuna wakati nilihitaji kujua lwanini kampuni ya cocacola inawatumia watu maarufu duniani kutangaza bidhaa zao tena inawalipa mabilioni ya pesa, nkatamani kujua hayo matangazo yanamshawishi vipi binadamu anunue cocacola, nkajiuliza kwanini wakati Cristian Ronaldo anaongea na wanahabari kwanini chupa za cocacola huwekwa mezani ? Je kuna mechanism gani inayomshawishi mimi niliyeko huku bongo ninunue cocacola?
Jibu ni kwamba IF YOU LIKE CHRISTIAN RONALDO, AND CHRISTIAN RONALDO LIKE COCACOLA, YOUR BRAIN WILL UNCOUNSCIOUS LIKE COCACOLA THAT TIME YOU THINK ABOUT CHRISTIAN RONALDO,
wakuu mtanisamehe kwa kuchanganya lugha, Basi nikaanza kusoma vitabu mbali mbali ni jinsi gani matangazo humshawishi binadamu, nikajikuta naangukia kwenye kutaka kujua what is mind? Where is it located in the human body? baada ya kusoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye kutaka kujua WHAT IS MEMORY? how is it stored in thehuman brain, and by which mechanism? Why we remember and forget other things? Baada ya kuingia kwenye hilo swali nkasoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye somo linaloitwa NEUROSCIENCE.
Kiufupi nmejifunza mambo mengi sana, nimepata majibu ya maswali yafuatayo,
HIVI SASA WATU WANAUZIWA MIDOLI YA KUFANYA NAYO MAPENZI kwa sababu mtengenezaji anajua how the human brain works!
Ninawawekea baadhi ya vitabu msome nanyi mfunguke akili
1. Meet your happy chemicals
2. Cognitive neuroscience
3. Neuroscience of sleep and dreams
Vingine mtaongezea
Kuna wakati nilihitaji kujua lwanini kampuni ya cocacola inawatumia watu maarufu duniani kutangaza bidhaa zao tena inawalipa mabilioni ya pesa, nkatamani kujua hayo matangazo yanamshawishi vipi binadamu anunue cocacola, nkajiuliza kwanini wakati Cristian Ronaldo anaongea na wanahabari kwanini chupa za cocacola huwekwa mezani ? Je kuna mechanism gani inayomshawishi mimi niliyeko huku bongo ninunue cocacola?
Jibu ni kwamba IF YOU LIKE CHRISTIAN RONALDO, AND CHRISTIAN RONALDO LIKE COCACOLA, YOUR BRAIN WILL UNCOUNSCIOUS LIKE COCACOLA THAT TIME YOU THINK ABOUT CHRISTIAN RONALDO,
wakuu mtanisamehe kwa kuchanganya lugha, Basi nikaanza kusoma vitabu mbali mbali ni jinsi gani matangazo humshawishi binadamu, nikajikuta naangukia kwenye kutaka kujua what is mind? Where is it located in the human body? baada ya kusoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye kutaka kujua WHAT IS MEMORY? how is it stored in thehuman brain, and by which mechanism? Why we remember and forget other things? Baada ya kuingia kwenye hilo swali nkasoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye somo linaloitwa NEUROSCIENCE.
Kiufupi nmejifunza mambo mengi sana, nimepata majibu ya maswali yafuatayo,
- Kwanini mashabiki wa simba au Yanga hufurahia na kuruka ruka kama watoto pindi timu zao zinapo funga goli, mechanism inayoperekea wao kuwa hivo ni ipi?
- Kwanini mtu mwingine hawezi hata kuangalia kidonda cha binadamu ila kuna mwingine anamuua mtu kwa kumkata kata na mapanga, mwingine anamchoma mpenzi wake na moto wa petrol kisa wivu what is the mechanism behind?
- Kwanini unaposikia mziki mzuri unajikuta unakata mauno na kifurahia kama mtoto what is the mechanism behind?
- Kwanini watu wengi wanapokuwa na mawazo hukimbilia kunywa pombe na pombe zikiisha kichwani mawazo huanza upya what is the mechanism behind?
- Kwanini mtu akasirike mpaka kufikia hatua ya kupigana kisa umemtankia tusi ambalo ni neno tu moja what is the mechanism behind?
- Kwanini wanaume wakiona kiungo cha mwanamke kama vile mapaja, makalio n.k hujikuta wanapata hisia za mapenzi hata kama wana akili timamu what is the mechanism behind?
HIVI SASA WATU WANAUZIWA MIDOLI YA KUFANYA NAYO MAPENZI kwa sababu mtengenezaji anajua how the human brain works!
Ninawawekea baadhi ya vitabu msome nanyi mfunguke akili
1. Meet your happy chemicals
2. Cognitive neuroscience
3. Neuroscience of sleep and dreams
Vingine mtaongezea