Nashauri kila mwana JF asome vitabu vya Neuroscience

Nashauri kila mwana JF asome vitabu vya Neuroscience

Kudos kwako ndugu mleta mada, kama kuna vingine nitarudi kupakua, wabheja sana.....
Mkuu kuna zip library huko unadownload chochote unachotaka kusoma bureee

Wewe kazi yako ni kugoogle kitabu kisha unazama libtary kukipakua
 
Mkuu kuna zip library huko unadownload chochote unachotaka kusoma bureee

Wewe kazi yako ni kugoogle kitabu kisha unazama libtary kukipakua
Ngoja nizame nitafute na vingine vya kitaaluma...
 
Habari wakuu,

Kuna wakati nilihitaji kujua lwanini kampuni ya cocacola inawatumia watu maarufu duniani kutangaza bidhaa zao tena inawalipa mabilioni ya pesa, nkatamani kujua hayo matangazo yanamshawishi vipi binadamu anunue cocacola, nkajiuliza kwanini wakati Cristian Ronaldo anaongea na wanahabari kwanini chupa za cocacola huwekwa mezani ? Je kuna mechanism gani inayomshawishi mimi niliyeko huku bongo ninunue cocacola?
Jibu ni kwamba IF YOU LIKE CHRISTIAN RONALDO, AND CHRISTIAN RONALDO LIKE COCACOLA, YOUR BRAIN WILL UNCOUNSCIOUS LIKE COCACOLA THAT TIME YOU THINK ABOUT CHRISTIAN RONALDO,

wakuu mtanisamehe kwa kuchanganya lugha, Basi nikaanza kusoma vitabu mbali mbali ni jinsi gani matangazo humshawishi binadamu, nikajikuta naangukia kwenye kutaka kujua what is mind? Where is it located in the human body? baada ya kusoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye kutaka kujua WHAT IS MEMORY? how is it stored in thehuman brain, and by which mechanism? Why we remember and forget other things? Baada ya kuingia kwenye hilo swali nkasoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye somo linaloitwa NEUROSCIENCE.

Kiufupi nmejifunza mambo mengi sana, nimepata majibu ya maswali yafuatayo,
  1. Kwanini mashabiki wa simba au Yanga hufurahia na kuruka ruka kama watoto pindi timu zao zinapo funga goli, mechanism inayoperekea wao kuwa hivo ni ipi?
  2. Kwanini mtu mwingine hawezi hata kuangalia kidonda cha binadamu ila kuna mwingine anamuua mtu kwa kumkata kata na mapanga, mwingine anamchoma mpenzi wake na moto wa petrol kisa wivu what is the mechanism behind?
  3. Kwanini unaposikia mziki mzuri unajikuta unakata mauno na kifurahia kama mtoto what is the mechanism behind?
  4. Kwanini watu wengi wanapokuwa na mawazo hukimbilia kunywa pombe na pombe zikiisha kichwani mawazo huanza upya what is the mechanism behind?
  5. Kwanini mtu akasirike mpaka kufikia hatua ya kupigana kisa umemtankia tusi ambalo ni neno tu moja what is the mechanism behind?
  6. Kwanini wanaume wakiona kiungo cha mwanamke kama vile mapaja, makalio n.k hujikuta wanapata hisia za mapenzi hata kama wana akili timamu what is the mechanism behind?
KWa wasio jua majibu ya hayo maswali watasema Mungu ndio anajua, lakini wenzetu hawakuwa wavivu walifanya tafiti usiku na mchana wakapata majibu ndio maana wanatucontrol kwa kutumia maarifa waliyonayo
HIVI SASA WATU WANAUZIWA MIDOLI YA KUFANYA NAYO MAPENZI kwa sababu mtengenezaji anajua how the human brain works!

Ninawawekea baadhi ya vitabu msome nanyi mfunguke akili

1. Meet your happy chemicals
View attachment 1885121
2. Cognitive neuroscience
View attachment 1885127
3. Neuroscience of sleep and dreams
View attachment 1885133

Vingine mtaongezea
Kuna kitabu fulani nakitafuta muda mrefu kidogo Title yake ni
Brain And the Heart kimeandika na somebody Steven's ila sikumbuki Title yake vizuri aliyenacho anipatie
 
Kuna kitabu fulani nakitafuta muda mrefu kidogo Title yake ni
Brain And the Heart kimeandika na somebody Steven's ila sikumbuki Title yake vizuri aliyenacho anipatie
Ingia b-ok.org
 
Jaribu kukitafuta kama utakipata nimeangalia platforms nyingi sana sijakipata hicho kitabu
Anzia google kuwa kama unakigoogle amazon ulipata jina lake na mwandishi wake niambie nikutafutie
 
Kuna cku gari ya pepsi imepita jran na home. Ile gari ina picha ya mondi akiwa kashika peps ile big. Ilipofika jion saa 2 nkajikuta nna hamu ya kunywa peps ikabidi niende nkanunue. Skuelewa kwa kweli.
 
Kuna cku gari ya pepsi imepita jran na home. Ile gari ina picha ya mondi akiwa kashika peps ile big. Ilipofika jion saa 2 nkajikuta nna hamu ya kunywa peps ikabidi niende nkanunue. Skuelewa kwa kweli.
Wajanja wanacheza na physiology ya ubongo, psychology haina mwisho ila physiology ndio kila kitu

Soma kitabu cha MEET WITH YOUR HAPPY CHEMICALS utaelewa mechanism behind
 
Mkuu kama utaweza hicho cha 'cognitive neurosciensce' naomba ukiweke hapa, naona mchakato wa kukipakua huko umekuwa mgumu kwangu...
 
Mkuu kama utaweza hicho cha 'cognitive neurosciensce' naomba ukiweke hapa, naona mchakato wa kukipakua huko umekuwa mgumu kwangu...
Sasa mkuu kitabu kina MB nyingi kukipandisha hapa kinahitaji muda ila nitajitahidi usiku nikiweke
 
Habari wakuu,

Kuna wakati nilihitaji kujua lwanini kampuni ya cocacola inawatumia watu maarufu duniani kutangaza bidhaa zao tena inawalipa mabilioni ya pesa, nkatamani kujua hayo matangazo yanamshawishi vipi binadamu anunue cocacola, nkajiuliza kwanini wakati Cristian Ronaldo anaongea na wanahabari kwanini chupa za cocacola huwekwa mezani ? Je kuna mechanism gani inayomshawishi mimi niliyeko huku bongo ninunue cocacola?
Jibu ni kwamba IF YOU LIKE CHRISTIAN RONALDO, AND CHRISTIAN RONALDO LIKE COCACOLA, YOUR BRAIN WILL UNCOUNSCIOUS LIKE COCACOLA THAT TIME YOU THINK ABOUT CHRISTIAN RONALDO,

wakuu mtanisamehe kwa kuchanganya lugha, Basi nikaanza kusoma vitabu mbali mbali ni jinsi gani matangazo humshawishi binadamu, nikajikuta naangukia kwenye kutaka kujua what is mind? Where is it located in the human body? baada ya kusoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye kutaka kujua WHAT IS MEMORY? how is it stored in thehuman brain, and by which mechanism? Why we remember and forget other things? Baada ya kuingia kwenye hilo swali nkasoma sana vitabu nkajikuta naangukia kwenye somo linaloitwa NEUROSCIENCE.

Kiufupi nmejifunza mambo mengi sana, nimepata majibu ya maswali yafuatayo,
  1. Kwanini mashabiki wa simba au Yanga hufurahia na kuruka ruka kama watoto pindi timu zao zinapo funga goli, mechanism inayoperekea wao kuwa hivo ni ipi?
  2. Kwanini mtu mwingine hawezi hata kuangalia kidonda cha binadamu ila kuna mwingine anamuua mtu kwa kumkata kata na mapanga, mwingine anamchoma mpenzi wake na moto wa petrol kisa wivu what is the mechanism behind?
  3. Kwanini unaposikia mziki mzuri unajikuta unakata mauno na kifurahia kama mtoto what is the mechanism behind?
  4. Kwanini watu wengi wanapokuwa na mawazo hukimbilia kunywa pombe na pombe zikiisha kichwani mawazo huanza upya what is the mechanism behind?
  5. Kwanini mtu akasirike mpaka kufikia hatua ya kupigana kisa umemtankia tusi ambalo ni neno tu moja what is the mechanism behind?
  6. Kwanini wanaume wakiona kiungo cha mwanamke kama vile mapaja, makalio n.k hujikuta wanapata hisia za mapenzi hata kama wana akili timamu what is the mechanism behind?
KWa wasio jua majibu ya hayo maswali watasema Mungu ndio anajua, lakini wenzetu hawakuwa wavivu walifanya tafiti usiku na mchana wakapata majibu ndio maana wanatucontrol kwa kutumia maarifa waliyonayo
HIVI SASA WATU WANAUZIWA MIDOLI YA KUFANYA NAYO MAPENZI kwa sababu mtengenezaji anajua how the human brain works!

Ninawawekea baadhi ya vitabu msome nanyi mfunguke akili

1. Meet your happy chemicals
View attachment 1885121
2. Cognitive neuroscience
View attachment 1885127
3. Neuroscience of sleep and dreams
View attachment 1885133

Vingine mtaongezea
Umeenda vizuri ila ni hapo kwenye watu kutengenezewa midoli ndo umezingua haifai
 
Back
Top Bottom