Wanajamii kutokana na ufaulu wa kutisha kwa form six mwaka huu. Mnaonaje vyuo vyote kutengeneza inteview exam kwa masomo yote. Kwa wanafunzi wote waliochaguliwa na tcu. Atakaye fail. Anarudia necta form six 2015.
Maoni yenu yanaweza kubadilisha mawazo ya vyuo na taifa kwa ujumla.
Asanteni