Nashauri kwa maslahi mapana ya Simba kocha Didier Gomes arejeshwe Msimbazi haraka

Nashauri kwa maslahi mapana ya Simba kocha Didier Gomes arejeshwe Msimbazi haraka

Tatzo la simba kusogea zaid mbele sio kocha wachezaj kuanzia bila kupepesa macho hatu za mtoano ni ngumu sana ukiwa na wachezaji ambao viwango vyao vya kubahatisha na kosa wamefanya viongoz ktk usajili walileta siasa badala ya kuboresha timu huwez kupga hatua ktk mechi ngum kwa wachezaji aina ya mugalu au bocco mtu anaitaj nafas tano ndio apate gol moja ,mechi kama ya jana ni ngum sana kupata nafas nyng za kufunga unatakiwa uwe na wachezaji ambao makosa mawil moja watafunga , simba kuanzia eneo la kiungo mkabaji na kiungo mshambualiaji wangeboresha zaid na wangepata winga aina ya luis na mshambuliaj hatar kuliko hawa wetu bas mwaka jana na mwaka huu mmoja wapo wengefka mbal zaid tatzo la kuoneana aibu kuna baadhi ya wachezaji tokea mwaka jana unaona kabisa ni ngum kupga nao hatua lkn wakawabakisha ndio chanzo cha yote
 
Watu wengi wanamlaum kocha wetu bulw tu lakini huyu kocho n mzur na ana mbinu Sana,shida ni wachezaji aliowakuta na waliosajiliwa mwaka msimu uliopita hawapo vizuri Tena tushukukulu Kwa hiyo jatua tuliuofika .Akipata wafungaji wazuri Simba itafanya vizuri sana





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don Pablo Martin ni mkali sanaa

Pablo ktk game zake za away na simba kaokota goli 5 na kikosi chake hakina chama, hakina bocco 2a msimu ule

Gomezi aliokota goli 5 na yy lkn ndani ya mkikosi kulikuwa na watu yaan yy alimkosa mkude tu ...

To me Pablo ni Bora isipokuwa tu wachezaji aliowakuta hawakuwa fit 100 %
Na huo ndo ukweli wenyewe shida inakuja kwa sisi mashabiki ambao hatujui mpira tunakalia kulaumu bila facts.Kocha kwa hiki kikosi kajitahidi Sana na anastahili pongezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, jina lako, ni kama watu wa nyumbani kwetu. Sasa, naye nimeona kama nalo lina VIONJO vya huko huko kwetu!
Au mkuu nimekukwaza?
hajanikwaza nimeuliza tu.
Hilo jina ni muunganiko wa majina ya legends wa Simba Sc
Emanuel Okwi
Felix Sunzu
Haruna Moshi Boban

Wakati najiunga JF walikuwa kwenye peak
 
Bora hata ungempendekeza Kishingo.

Gomez hakuna kitu,sema alikikuta kikosi kiko vizuri.
wewe uko smart kichwani unajua kufuatilia maendeleo ya simba... hakuna kocha aliyekuwa bora simba kama kishingo, kishingo ndie aliyetengeneza kikosi bora kabisa alichosafiria gomezi..anaefuatia kwa karibu ni huyu Pablo japo ana kikosi kibovu lkn amemaintain sana..
 
Tatzo la simba kusogea zaid mbele sio kocha wachezaj kuanzia bila kupepesa macho hatu za mtoano ni ngumu sana ukiwa na wachezaji ambao viwango vyao vya kubahatisha na kosa wamefanya viongoz ktk usajili walileta siasa badala ya kuboresha timu huwez kupga hatua ktk mechi ngum kwa wachezaji aina ya mugalu au bocco mtu anaitaj nafas tano ndio apate gol moja ,mechi kama ya jana ni ngum sana kupata nafas nyng za kufunga unatakiwa uwe na wachezaji ambao makosa mawil moja watafunga , simba kuanzia eneo la kiungo mkabaji na kiungo mshambualiaji wangeboresha zaid na wangepata winga aina ya luis na mshambuliaj hatar kuliko hawa wetu bas mwaka jana na mwaka huu mmoja wapo wengefka mbal zaid tatzo la kuoneana aibu kuna baadhi ya wachezaji tokea mwaka jana unaona kabisa ni ngum kupga nao hatua lkn wakawabakisha ndio chanzo cha yote
Kumrudisha CCC tena Simba ilikuwa busara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don Pablo Martin ni mkali sanaa

Pablo ktk game zake za away na simba kaokota goli 5 na kikosi chake hakina chama, hakina bocco 2a msimu ule

Gomezi aliokota goli 5 na yy lkn ndani ya mkikosi kulikuwa na watu yaan yy alimkosa mkude tu ...

To me Pablo ni Bora isipokuwa tu wachezaji aliowakuta hawakuwa fit 100 %
Naunga mkono hoja
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Pablo kaanza na mguu mbaya Simba. Mwanzoni tu kaikuta timu haina Chama wala Luis na hapo hapo kakutana na sapraizi ya mwaka ya Muzamiru, Boko, Mugalu na Kagere wote wameshuka viwango ghafla jumlisha majeruhi. Lakini kajitahidi kuifikisha Simba robo fainali japo inachechemea kwenye NBC ligi. Da Rosa hakuwa na jipya sana alisafiria nyota ya Kishingo mpaka viongozi waliposhtuka wakajikuta Simba haina timu bali ina wachezaji wenye majina makubwa tu.

Naamini huyu Pablo akipewa wachezaji wapya wa maana watano tu atafanya vizuri zaidi ya alipofika mwaka huu. Apate tu:-
1. Mafowadi wawili wakali wa kigeni wawe na uwezo wa zaidi ya Mugalu na Kagere
2. Fowadi mmoja mkali wa kibongo awe na uwezo sawa na Boko alivyokuwa kwenye "peak ". Kati ya mpole au Lusajo mmoja atawafaa sana
Simba
3. Viungo wawili wakali na wawe wote wanaweza kushambulia na kukaba kama alivyokuwa Fraga.

Na Simba sasa isirudie tena kuleta vijana wa kiume kama wakina Banda, Sakho, Mwanuke, Israel na Mhilu kama vile inatengeneza academy wakati under 20 na 17 tayari zipo Simba. Vijana waliopo wanatosha sana. Simba sasa isajili wanaume wa kuleta matokeo kama wakina Phiri, Adebayor, n.k. ili hao vijana wakina Banda, Sakho na wenzano wajifunze kutoka kwa hao wanaume. By the time hao wanaume wanastaafu utakuta hao wakina Banda na wenzake nao watakuwa "matured enough" kuachiwa timu na Simba itakuwa kwenye mikono salama.

Mwisho Simba ijitahidi kusajili wachezaji wapambanaji badala ya kuingalia tu kipaji. Kwa mfano ukimwangalia Bwalya ni bonge la mchezaji ana kipaji cha hali ya juu lakini sio mpambanaji kabisa. Lakini kuna wachezaji kama Inonga, Morison na Kapombe unawaona kabisa wanatumia mpaka pumzi yao ya mwisho kupambania timu. Kwangu mimi ni heri mara mia kuwa na mchezaji mpambanaji asiye na kipaji kikubwa sana kuliko kuwa na mchezaji mwenye kipaji kikubwa halafu hapambanii timu.
 
Ww jamaa kweli hufuatilii.mpira ...nakushauri update memory yako

Pablo game yake ya kwanza ktk michezo ya CAF ni mechi dhidi ya Red Arrows sasa achana na hapo

Mimi nazungumzia group stage.
Asec vs Simba 3-0
Rs B vs Simba 2
OP vs simba 1-0

Hapo ni 6 kaokota

Uelewa tumetofautiana. Neno kuokota nimelichukulia in positive way. Nilijua unamaanisha magoli ambayo Simba imevuna away
 
hajanikwaza nimeuliza tu.
Hilo jina ni muunganiko wa majina ya legends wa Simba Sc
Emanuel Okwi
Felix Sunzu
Haruna Moshi Boban

Wakati najiunga JF walikuwa kwenye peak
Aaaah! Nawakumbuka sana hao jamaa!
Hata huyu ndugu, sina shaka amefuata UBUNIFU wako, kwenye CHAMA hilohilo!
 
Don Pablo Martin ni mkali sanaa

Pablo ktk game zake za away na simba kaokota goli 5 na kikosi chake hakina chama, hakina bocco 2a msimu ule

Gomezi aliokota goli 5 na yy lkn ndani ya mkikosi kulikuwa na watu yaan yy alimkosa mkude tu ...

To me Pablo ni Bora isipokuwa tu wachezaji aliowakuta hawakuwa fit 100 %
Away gomes alifungwa goli 1
 
Back
Top Bottom