Brightfame
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,371
- 1,456
Well spoken !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siyo ya kibaguzi ni wewe kufika ofisi zao wanakupa terms&conditionsKama postpaid ipo kwa nn wang'ang'ane na kuuza vifurushi,postpaid inayotakiwa ni ya watumiaji wote wa simu nchi nzima sio hi ya kibaguzi.
Mfumo wa vifurushi uondolewe nchi nzima tuwe katika mfumo wa postpaid ndio nchi nyingine wanavyofanya na ndio nachozungumzia.
Every one is aware of that,ila ninachomaanisha postpaid ndio hiwe katika sera ya malipo ya simu kwa wa Tanzania wote whether you like or not kusiwe na huu mfumo wa kulanguana vifurushi ambavyo havieleweki,tuwe na utaratibu mmoja tu wa malipo.siyo ya kibaguzi ni wewe kufika ofisi zao wanakupa terms&conditions