Kama postpaid ipo kwa nn wang'ang'ane na kuuza vifurushi,postpaid inayotakiwa ni ya watumiaji wote wa simu nchi nzima sio hi ya kibaguzi.
Mfumo wa vifurushi uondolewe nchi nzima tuwe katika mfumo wa postpaid ndio nchi nyingine wanavyofanya na ndio nachozungumzia.