Nashauri makampuni ya simu yaanzishe utaratibu tuwe tunalipia huduma za simu kama kodi za nyumba

siyo ya kibaguzi ni wewe kufika ofisi zao wanakupa terms&conditions
 
siyo ya kibaguzi ni wewe kufika ofisi zao wanakupa terms&conditions
Every one is aware of that,ila ninachomaanisha postpaid ndio hiwe katika sera ya malipo ya simu kwa wa Tanzania wote whether you like or not kusiwe na huu mfumo wa kulanguana vifurushi ambavyo havieleweki,tuwe na utaratibu mmoja tu wa malipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…