Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana

Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana

Chama liliharibiwa na mijitu ya ajabu ajabu mpaka likawa halina hazina ya viongozi.
Imagine chama letu kununua vijana toka upinzani halafu na kuwapa nafasi za uongozi.
Imagine chama kuunda serikali isiyofuata katiba ya nchi.
Chama kubariki wabunge wasio na vyama...Shame.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tunaenda mbele, au tunarudi tulikotoka? Vijana maelfu wanaohitimu vyuo kila mwaka hamwaoni!?
Vijana sindio hao kina Makonda, Sabaya, Jerry Muro, Polepole(mzee kijana) Kigwangala na the like walivyopewa madaraka ikawaje???

Vijana wengi ni wezi, madharau, viburi na kujimwambafai pale wapewapo madaraka.
Kwa Vijana niliowaona walipokabidhiw madaraka kwa hakika ni nafuu wazee kuliko sisi vijana.
 
Hapo ni hila tu ya fisadi kumtosa mzee Mangula kwa kuwawekea kiwingu project yao ya kujenga bandari Bagamoyo. Mzee mangula kawaambia ilani ya CCM ni kujenga gati Bagamoyo sio bandari. Hapo tayari washakuja na mpango kumuweka mtu wao mzee Kinana. Huyu aliyesikikika akimnanga Magufuli na vijana wake Nape na Januari Makamba.

[emoji3516][emoji23]
 
Wadau wa JamiiForums

Wazalendo Wote Nchini

Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.

Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama

Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake

Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake

Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa

Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.

Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Mangula ni jiwe la kwenye kona walilolikataa wajenzi.Unaweza ukawa sahihi si unajua yule alitemagwa wakati wa utawala wa Msoga.By the way hata atempt ya kupewa sumu unaweza uunganisha dots
 
Mtoeni tu ili timu ya wapigaji ilkamilike Kama ilivyokuwa kwa Msogagang,ili 2025 tuamue vizuri.
 
Wadau wa JamiiForums

Wazalendo Wote Nchini

Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.

Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama

Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake

Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake

Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa

Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.

Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Tembo wetu watanusulika kweli!?[emoji15]
 
Mkuu naona ulikuwa unawaandaa wanaCCM kisaikolojia. Hatimaye imekuwa kama mlivyopanga.
 
Wadau wa JamiiForums

Wazalendo Wote Nchini

Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.

Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama

Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake

Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake

Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa

Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.

Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Wadau wa JamiiForums

Wazalendo Wote Nchini

Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.

Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama

Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake

Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake

Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa

Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.

Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Huko jikoni endelea kutupasha vyema
 
Wadau wa JamiiForums

Wazalendo Wote Nchini

Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.

Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama

Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake

Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake

Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa

Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.

Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Chawa pro umeaikokaa
 
Back
Top Bottom