Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Vijana wajiajiri.Tunaenda mbele, au tunarudi tulikotoka? Vijana maelfu wanaohitimu vyuo kila mwaka hamwaoni!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wajiajiri.Tunaenda mbele, au tunarudi tulikotoka? Vijana maelfu wanaohitimu vyuo kila mwaka hamwaoni!?
CCM hawaachiani maji mezani.Ile sumu aliyolishwa imepoa?
Wahusika wameonywa? Kwakuwa hawagusiki!
Vijana sindio hao kina Makonda, Sabaya, Jerry Muro, Polepole(mzee kijana) Kigwangala na the like walivyopewa madaraka ikawaje???Tunaenda mbele, au tunarudi tulikotoka? Vijana maelfu wanaohitimu vyuo kila mwaka hamwaoni!?
Mnataka Ajiuzulu ili mrasimishe ufisadi?
Hatoki ng'oo mpeni sumu tu
Hapo ni hila tu ya fisadi kumtosa mzee Mangula kwa kuwawekea kiwingu project yao ya kujenga bandari Bagamoyo. Mzee mangula kawaambia ilani ya CCM ni kujenga gati Bagamoyo sio bandari. Hapo tayari washakuja na mpango kumuweka mtu wao mzee Kinana. Huyu aliyesikikika akimnanga Magufuli na vijana wake Nape na Januari Makamba.
Mangula ni jiwe la kwenye kona walilolikataa wajenzi.Unaweza ukawa sahihi si unajua yule alitemagwa wakati wa utawala wa Msoga.By the way hata atempt ya kupewa sumu unaweza uunganisha dotsWadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Tembo wetu watanusulika kweli!?[emoji15]Wadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
DoneMangula hatoki
Kashatupiwa virago, akapumzike kwa amani uraianiMzee Mangula ndi Hirizi ya Chama…mwacheni aendelee kuchapa Kazi
Wadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Huko jikoni endelea kutupasha vyemaWadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Chawa pro umeaikokaaWadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama