Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana

Hatimaye
 
Mlikuwa mnataka ushahidi wa Msoga gang kujihusisha na NGADA!! Mjomba wa Msoga kwa vile ndio mwenye usukani wa serikali, wauza PODA wote sasa wanatolewa Gerezani waje waendeleze libeneke lao!!
Mjomba ili kufanikisha udhalimu wake anataka kumuondoa Mzee Mangulla ili iwe rahisi kurudisha utawala wake wa kifisadi!
 
kumbe mlianza zamani sana
 
Kuwakomesha 'Msoga Gang' msinunue hizo 'ngada' zao

Ongea na watoto wako wasinunue ngada za Mzee yule ili tumkomoe lakin pia tumkomeshe.
 
Ni vema Rais akapewa muda na nafasi ya kupanga safu yake kwenye chama chake. Lazima awe na watu watakaomwelewa ankotaka kwenda. Hata Rais aliepita alifanya hivyo. Hatutaki makelele mengi.
 
UMEKULA ngapi kwa Kampeni hii?

Kwa hiyo mnabariki rasmi wale wezi wa kipindi cha nyuma ambao CCM ilizimia mikononi mwa ndio warudishe makundi yao ya mtandao tena?

Unasema kinana anakubalika sana kwa wana CCM!
Je unaweza kuleta ushahidi wako kuthibitisha hilo?

Kinana alikwisha chafuka na ninashangaa kwa CCM kutokuwa na viongozi wenye uwezo kwa nafasi hiyo hadi mnawaza kurudisha watu waliokwishachafuka kama kinana?
 
Kwa vile Maembe amerudi sasa timu ipangwe upya Maembe apewe nafasi haraka
 
Naona ulikuwa unawaandaa watu kisaikolojia.
Hii ilikwisha pangwa na kuamriwa kitambo ya kuwa Mangula atoke na mzee wa Tusker aingie....

Angalieni kosa moja litachafua mazuri 1000 ya Mh.Samia.
One 'aw shit' can erase a thousand attaboys.
 
Kinana amekamata nafasi kwa maslahi mapana ya chama 2025.

Ccm wana akili sana.
 
Nchi sasa kila mtu anajua uelekeo wake
 
Wewe lazima utakuwa mpigaji.Tembo wameongezeka mnataka kuwamaliza tena,hamna aibu kabisa.Hapana,mimi kama Mtanzania na Mwana CCM nasema tumechoka kuchezewa,Kinana hafai kuwa kiongozi wa CCM,abaki Mzee wetu Mangula,au atafutwe kiongozi mwingine mwenye moral values kama Mzee Mangula aiongoze CCM.Kinana kuiongoza CCM ni kukipaka Chama na wanachama wake matope.
 
Mkuu Kamarada Uzalendo Wa Kitanzania , kwanza asante Sana na hongera kwa ushauri wako huu, umetekelezwa, kwa asilimia 💯% chini ya 💯%!.

Ila ili bandiko hili li make sense, hiyo update uweke chini baada ya the original post ya thread starter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…