Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji 2022. Mashamba makubwa yaruhusiwe ndani ya mipango miji

Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji 2022. Mashamba makubwa yaruhusiwe ndani ya mipango miji

Siwezi nikakukatalia,wala sikubaliani na wewe kwa asilimia zote, Lukuvi alisema nini kwa wenye viwanja ambavyo havijaendelezwa? Kama serikali ikiamua kupima mashamba yote nan mwenye ubavu wa kukataa?. Issue ni urasimu tu wala sio wakaazi wa moshi hakuna asietaka maendeleo
Mikoa yote ni rahisi. Moshi utwae ardhi ya mtu hata iwe pori? atakuua na kujiua. Sababu tofauti na mikoa mingine wao ardhi ni ya ukoo siasa za ukoo kule zinakwamisha maendeleo ya ardhi ndani ya koo na kiserikali.

Koo kule ni serikali Sehemu zingine ardhi ni mali ya mtu binafsi kumaluzana naye inakuwa rahisi. Moshi hali tofauti. Ndio maana nasema wakae wenyewe kwanza wajadili hilo kuwa ardhi yao iendele kuwa white elephant indelee kuzalisha maskini au ibadilike.

Wakishaamua ni rahisi tu hata manispaa ya Moshi kutengeneza masterplani mpya ya kuifanya Moshi kuwa jiji na kulipanua kila upande na kuwa la kisasa.

Bila koo ku addtess issue ya ardhi iko siku moshi mjini itakuwa sawa na hadhi ya mji wa ujiji.
 
Siwezi nikakukatalia, wala sikubaliani na wewe kwa asilimia zote, Lukuvi alisema nini kwa wenye viwanja ambavyo havijaendelezwa? Kama serikali ikiamua kupima mashamba yote nan mwenye ubavu wa kukataa? Issue ni urasimu tu wala sio wakaazi wa Moshi hakuna asietaka maendeleo
Naomba ukubaliana na YEHODAYA kasema kweli tupu na anaishi nao.

Mji wa Moshi hauwezi pewa hadhi ya Jiji kwani hauwezi panuka kabisa kwa sababu una upungufu wa ardhi, wenyeji wamenunua ardhi kubwa na hawawezi kuiendeleza, ilikuwa kwa ajili ya Kilimo cha kahawa na katani na wamemiliki kihalali kabisa.

Waziri Lukuvi aliwashauri makaburi yasienee popote kila eneo mmiliki anataka makaburi ya ukoo, mfano wakazi wa Msaranga, Shirimatunda, Longuo na kwingineko unaweza wanyang'anya ardhi wakati ina makaburi yao, si watakuua na kujiua?

MJi km Dodoma walileta kamtindo hako, ukigusa hapa ujenge uwanja wanadai pao, walichofanya i kuuhamisha Mji mpya kwenda porini kabisa, sasa kwa Moshi haiwezekani kuachia ardhi ni bora ukawaacha kwanza watajirekebisha watakapogundua ni bora Kibaha, Chato, Dodoma hata Mtwara

cc z12f
 
Mleta mada uko vizuri sana, kongole sana Mkuu kwa kuweka vizuri hili.
Angalia hapo kwenye mashamba makubwa eti yaruhusiwe ndani ya jiji!!!! .Jiji gani duniani lina mashamba makubwa katikati ndani ya jiji kama mleta mada anavyitaka? sehemu ya jiji kupanukia ni kwenye mashamba sasa yeye anataka mashamba yawe sehemu ya jiji

Hiyo mishamba ndio cause kubwa ya mji wa moshi kutotanuka na kuwa mji wa kisasa kama Arusha ,Mwanza nk
 
Awamu hii imepandikiza mbegu mbaya na ovu sana kwa ubaguzi wa kikanda!
Achilieni ardhi mji wa Moshi upanuke mnataka jiji huku Ardhi mumeng'ang'ania hamuuzi wala kuiendeleza wenzenu wanauza kwa waendelezaji hata kutoa ardhi bure kwa wawekezaji nyie kaeni na li ardhi lenu hopeless ambalo sasa hivi halina cha maana zaidi ya kuzalisha umaskini Moshi
 
Mbona ndiyo mji pekee unaosubiria kupewa hadhi hiyo.Jikaze tu kifua kisipasuke kwa chuki. Eti majengo mengi ni dizaini ya zamani,kwahiyo mji hauwezi kuwa jiji kwa sababu hiyo.

Nb:
Kajiridhishe kwanza vigezo vinavyotumika kuipa manispaa /mji hadhi ya kuwa jiji, halafu urudi.
Moshi mjini wachoyo kwa ardhi yao hawauzi kwa wageni waiendeleze pia wao wenyewe hawaiendelezi kuweka vitega uchumi vya maana mji uamke

Mji umechakaa utafikiri choo cha city mijengo mingi ya zamani design za kizamani utafikiri uko ujiji kigoma hakuna new estates development kubadili sura ya mji

Moshi kuipa hadhi ya jiji hapana hawajafikia hicho kiwango mji choka mbaya mno
 
Naunga hoja ila napendekeza CHATTLE kwanza mengine baadae
 
Angalia hapo kwenye mashamba makubwa eti yaruhusiwe ndani ya jiji!!!! .Jiji gani duniani lina mashamba makubwa katikati ndani ya jiji kama mleta mada anavyitaka? sehemu ya jiji kupanukia ni kwenye mashamba sasa yeye anataka mashamba yawe sehemu ya jiji

Hiyo mishamba ndio cause kubwa ya mji wa moshi kutotanuka na kuwa mji wa kisasa kama Arusha ,Mwanza nk
Aliyeleta mada kaleta hoja,ushauri na plan iweje nyie mmeleta ushabiki.

Wekeni vigezo vya mji kuwa jiji tujadili kimoja kimoja.

Halaf moshi ndiyo mji pekee unaosubiria kutangazwa jiji.

Eneo limeongezwa hadi PUMWANI, Kuna mji mpya SHABAHA,Kuna MABOGINI mpaka KAHE kote huko ni maeneo mapya ya jiji.

Longuo mitaa ya kcmc migomba ilishaondoka na viwanja vikapimwa,Huku Uru kumeshajaa MAKAZI isipokua maeneo machache.
Baadhi ya maeneo yatakuwa tu mji kutokana na nguvu ya ongezeko la watu na mahitaji ya MAKAZI.Tatizo watu wanawza jiji Ni wingi wa nyumba.ILI MJI UKUE UNAHITAJI WATU.

Nb: MSICHOJUA WENGI KUHUSU UCHAGANI.Ardhi Ni kidogo sana.Ardhi yote au vishamba mnavyopigia kelele humu tayari vinamilikiwa na wanafamilia,namaanisha vilishagawanywa kwa vijana ambao wako mjini,wengi wanatafuta uchumi waje kujenga.Hakuna ardhi yae kuuza.Nenda anzia kibosho,machame,marangu,kirua,mwika hadi rombo mashamba unayoona, kwa ndani yalishagawanywa viwanja kwa vijana.Unakuta eka moja wamegawna watu 5. Wewe unataka uuziwe ipi.Moshi hamna pori.
 
Nb: MSICHOJUA WENGI KUHUSU UCHAGANI.Ardhi Ni kidogo sana.Ardhi yote au vishamba mnavyopigia kelele humu tayari vinamilikiwa na wanafamilia,namaanisha vilishagawanywa kwa vijana ambao wako mjini,wengi wanatafuta uchumi waje kujenga.Hakuna ardhi yae kuuza.Nenda anzia kibosho,machame,marangu,kirua,mwika hadi rombo mashamba unayoona, kwa ndani yalishagawanywa viwanja kwa vijana.Unakuta eka moja wamegawna watu 5. Wewe unataka uuziwe ipi.Moshi hamna pori.
Jibu kumbe unalo!! km Mji mzima mmegawana viwanja na vihamba sasa unatalaje pawe Jiji, ukitaka kuweka recreation, viwanja vya burudani ukamuombe kiwanja Ndeamburo, Mawalla au Njau, Mji mzima wa Moshi hauna ardhi ya kuweka kiwanja, stand za usafiri, km Tram, Daladala, au michezo kipo cha Chuo cha Ushirika tu.
Hati miliki ya hivyo viwanja mwisho ni miaka 99 na Rais anaweza kuvichukua
sasa mmeweka makaburi ya Ukoo, mmeshaambiwa tafuteni eneo moja mizike wafiwa wote ili muweze kuandikisha ardhi au kumuuzia muwekezaji.
Hebu kaeni hivyohivyo km Mji km ulivyokuwa Old Moshi, na maeneo hayo km Mahoma nimekuta wanafukiwa Makaburi ili kupata kiwanja cha Kanisa, mtanyooka tu
 
Jibu kumbe unalo!! km Mji mzima mmegawana viwanja na vihamba sasa unatalaje pawe Jiji, ukitaka kuweka recreation, viwanja vya burudani ukamuombe kiwanja Ndeamburo, Mawalla au Njau, Mji mzima wa Moshi hauna ardhi ya kuweka kiwanja, stand za usafiri, km Tram, Daladala, au michezo kipo cha Chuo cha Ushirika tu.
Hati miliki ya hivyo viwanja mwisho ni miaka 99 na Rais anaweza kuvichukua
sasa mmeweka makaburi ya Ukoo, mmeshaambiwa tafuteni eneo moja mizike wafiwa wote ili muweze kuandikisha ardhi au kumuuzia muwekezaji.
Hebu kaeni hivyohivyo km Mji km ulivyokuwa Old Moshi, na maeneo hayo km Mahoma nimekuta wanafukiwa Makaburi ili kupata kiwanja cha Kanisa, mtanyooka tu
Usichojua Ni kwamba Moshi Kama mji siyo kwa ajili ya wachaga.Tatizo mentality za ukabila na chuki zimewajaa.Kwako wewe dodoma kwa ajili ya wagogo na warangi.

Mbona hampigi kelele Iringa,Lindi au Songea kuwa majiji kwa sababu wenyeji wanaachia ardhi yao kirahisi. Mchaga siyo mgogoe, mzaramo mpaka akuuzie ardhi kirahisi wanajua thamaniy ya kipande cha ardhi alicho nacho.

Na si kwamba moshi ardhi ya kununua haipo. Ipo bali hutafika Bei kwasabab wauzaji wanajua thamani yake.
Wanaowekeza ktk viwanda mbona hawakosi ardhi.Nyie mnaotaka viwanja vya kujenga room mbili na Bei hamfiki ndiyo mnapiga kelele humu.

MOSHI ITAKUWA JIJI KABLA MAGUFULI HAJAONDOKA MADARAKANI. HUU UTOPOLO WENU NA VICHUKI VYA KIKE HAVITAZUIA HILO.
 
Moshi imechachamaa
Msaada kwenye forum..hivi Manispaa na Mji kipi kikubwa nitoeni tongotongo wajuvi
 
Jibu kumbe unalo!! km Mji mzima mmegawana viwanja na vihamba sasa unatalaje pawe Jiji, ukitaka kuweka recreation, viwanja vya burudani ukamuombe kiwanja Ndeamburo, Mawalla au Njau, Mji mzima wa Moshi hauna ardhi ya kuweka kiwanja, stand za usafiri, km Tram, Daladala, au michezo kipo cha Chuo cha Ushirika tu.
Hati miliki ya hivyo viwanja mwisho ni miaka 99 na Rais anaweza kuvichukua
sasa mmeweka makaburi ya Ukoo, mmeshaambiwa tafuteni eneo moja mizike wafiwa wote ili muweze kuandikisha ardhi au kumuuzia muwekezaji.
Hebu kaeni hivyohivyo km Mji km ulivyokuwa Old Moshi, na maeneo hayo km Mahoma nimekuta wanafukiwa Makaburi ili kupata kiwanja cha Kanisa, mtanyooka tu
Na moshi siyo apo send tu,kuna mashamba na viwanja vingi tu shabaha, MABOGINI, KAHE. Huko hamtaki nyie moshi Ni shan't, Soweto kcmc wakat huna hela. Walioko siriaz viwanja vipo vingi tu mjohoron, sango, kawawa, mbokomu kote uko vipo.

Tatizo wenye hivyo viwanja si wazaramo au wagogo, Ni watu wanaojua thamani ya kipande cha ardhi. Wanajua value of money.
 
Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji in 2022.

1) Mji upanuliwe kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, this is very important. Kamwe mji usipanuliwe Kaskazini mwa barabara ya Moshi-Arusha.

2) Sehemu ya kata za wilaya ya Hai na Moshi Vijijini, zinazopakana na Manispaa ya Moshi na zilizoko kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, zihamishiwe kwenye Manispaa ya Moshi.

3) Katika eneo litakalohamishwa, contribution ya Moshi vijijini iwe kubwa kuliko contribution ya Hai, kwasababu Wilaya ya Moshi Vijijini ni kubwa (kieneo) kuliko Wilaya ya Hai.

4) Mipango miji ya Manispaa isiwabague watu wa kipato cha chini.

5) Mipango miji ya Manispaa isiwabague wazawa wenyeji.

6) Mipango miji ya Manispaa iruhusu mashamba makubwa na viwanja vikubwa sana kuendelea kuwepo ndani ya Manispaa.

7) Mipango miji ya Manispaa isilazimishe majengo marefu ndani ya Manispaa.

8) Mipango miji ya Manispaa isifute hati za kimila ndani ya Manispaa.

9) Kuwe na maeneo ya viwa nja vya low density. Ambayo yata mimic Oysterbay na Masaki.

10) Maeneo ya makaburi ya waafrika yazungushiwe ukuta mfupi (wa futi 2). Na kuwe na gaps pana kwenye pande mbali mbali zitakazoruhusu magari mapana na watu wengi kuingia na kutoka kwa rahisi sana.

11) Serikali kuu ipeleke fungu kubwa la pesa litakalo boresha miundombinu ya Jiji hilo la Moshi.

12) Eneo la Mji wa Himo lipanuliwe (kwa upande wa kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha-Holili, unaopakana na barabara ya kwenda Dar es Salaam) na Miji wa Himo upewe hadhi ya Manispaa ya mji. Kanuni za mipango miji ya Himo zifanane na hizo hapo juu nilizoshauri kuhusu mipango miji ya Manispaa ya Moshi.

13) Kiwanja kidogo cha ndege cha Moshi mjini kihamishiwe Uchira (Kusini mwa Barabara ya Moshi-Arusha). Na kiwe na runway ya lami ya 3.3 kms.

14) Mipango miji mingine yeyote ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro ifuate kanuni za mipango miji nilizoshauri hapo juu. E.g. Mipango miji ya makao makuu ya wilaya mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro. Pia barabara za makao makuu ya wilaya zisile sana viwanja na mashamba ya watu.

NB: Mikoa mingine ya Tanzania (ambayo sio makao makuu ya nchi kama Dodoma na Dar es Salaam) inaweza kuiga kanuni hizi za mipango miji.

Asante sana.
Masharti uliyoweka yanakwenda kinyume na sheria zinazotumika katika majiji yote. Unataka Jiji lakini hutaki sheria za kimila zibadilishwe. Unataka Jiji lakini hutaki maghorofa Jijini. Unataka Jiji lakini hutaki Ardhi itumike kama Makazi ya watu tu na mashamba iyasionekane tena Jijini. Utasubiri Sana.
 
Himo yaweza kuwa jiji kabla ya Moshi mjini cha msingi wa address issue ya ardhi kuna Mishamba mingi wakae waulizane wako tayari kuruhusu uwekezaji mkubwa kwa kuruhusu ardhi yao kutumika kiuwekezaji mkubwa au wataendelea kuikumbatia kama masai mwenye ngombe 2000 asietaka kuuza hata wawili anunue bati aezeke kibanda chake?

Issue ya ardhi moshi kwa sasa inazalisha maskini sio kitu cha maana tena Moshi

Umaskini mashambani moshi ni mkubwa mno wasiishi kwa mazoea wabadilike Ardhi is no longer a gold mine imebaki tu kama prestige kama ambavyo masai mwenye ngombe 2000 anavyojisikia presitdge kwa kitu kisichobadili maisha yake. Moshi na wamasai sasa hawana tofauti wote wanataka tu prestige kwa vitu visivyosaidia maisha.
Tuna ushirikiano binafsi Na ardhi. Hatuwezi iuza wala hatujawa masikini kisa kutokuiuza. Utamaduni wetu upo kwenye ardhi. Mtatusamehe tu ila ardhi ya magharibi kuelekea mlima Kilimanjaro haiwezi kuuzwa. Ni ardhi ya ukoo sio familia. Inashikiliwa Na familia kwa niaba ya ukoo. Wajukuu wetu wanatakiwa wazikwe huko. Na vitukuu Na vitukuu. Hatutaacha hata miaka 200 ijayo. Wala hata usihangaike sana.
 
WAKULUNGWA ARDHI YA MOSHI NA KILIMANJARO HAIUZWI KWA WAKUJA!!!!!! Tuna taratibu zetu Na ardhi wala hatujaomba msaada.
 
Back
Top Bottom