Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Habari wakuu,
kama kichwa cha Habari kinavyojieleza ningeshauri kombe la Mapinduzi lijalo Club ya Belouizdad na Usm Alger zialikwe ili kuongeza ushindani na Chachu ya mshindano kwa Vilabu vyetu.
Uzi tayari, Picha haihusiani na kilichoandikwa
kama kichwa cha Habari kinavyojieleza ningeshauri kombe la Mapinduzi lijalo Club ya Belouizdad na Usm Alger zialikwe ili kuongeza ushindani na Chachu ya mshindano kwa Vilabu vyetu.
Uzi tayari, Picha haihusiani na kilichoandikwa