johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ukweli upi?Nape na DC wa Longido aliyetumbuliwa ni wanaCCM wasema KWELI.
Semina Elekezi ya Kikwete ilikuwa kwenda kula Bata pale Hotels Ngurdoto !Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Usikilize👇Ukweli upi?
Waende Chuo cha CCM Kibaha 😄Semina Elekezi ya Kikwete ilikuwa kwenda kula Bata pale Hotels Ngurdoto !
Semina Elekezi iliyo bora ilitakiwa ifanyike pale Ukumbi wa CCM wa Kizota sio Ngurdoto !
Pale ilikuwa ni kwenda kuwafundisha wateule namna ya kutumbua maisha !
Akaamua achimbe kabla hajaumbuka.DC kaamua kumsemea NCHIMBI aliyotakiwa aseme jana
Ukweli mchungu sana daima huwa unachoma moyoni.Chonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Huu ni Ukweli mchungu sana.
Huyu DC wa Longido amesema Ukweli mchungu sana. Hataki Unafiki.Ni tabia tu ya mtu lakini semina huwa zinafanyika mara nyingi sana za masuala mbalimbali Mtambuka ikiwepo hilo unalolitaka wewe. Mara ngapi umesikia kupitia vyombo vya habari viongozi hao wakiwa katika semina.
Kumbuka tabia ni kama Ngozi tu.Wengine unawapa semina leo halafu kesho anafanya kilekile alichokatazwa jana. Ila nimesikitishwa sana na maneno ya Mheshimiwa DC kwa sababu amejidhalilisha sana na kuikosea heshima ofisi ya DC NA KUMKOSEA SANA Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Mwisho niseme kuwa hapa Duniani kuna watu wanachezea sana nafasi mpaka mtu unabaki unashangaa.Yaani mtu unapata Uteuzi wa Rais halafu unauletea mchezo? Mimi siwezi kufanya ujinga huo kuchezea nafasi. Watu wapo mitaani na vyeti vyao lakini hawana kazi unafikiri wanaweza kufanya kazi kiasi gani wakipewa nafasi ya uteuzi wa Rais?
Matumizi mabaya ya fedha za umma, jambo la kufanya ni serikali kufuta vyeo vya DC wabaki wakurugenzi tena waliosomea uongoziChonde Chonde Waziri mkuu ni vema hawa Viongozi kuanzia Wakurugenzi, Wakuu wa wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri wakafanyiwa Semina Elekezi
Hii itasaidia kuondoa kutolewa kauli kinzani na vioywetu pia hali ya Ukambale Ndani ya Serikali na hata Chama itaisha
Mlale Unono 😃
Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!