General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Nashauri serikali iweze kuanzisha somo la Ndoa kwa kila mmoja anaekaribia kuingia humo. Hakika wengi wetu tunaingia katika ndoa bila kujua bila kuelewa ndoa nakujikuta tunazama kupitia Mihemko.
Ndoa ni familia. Familia ndo jamii na jamii ni Nchi. Hakika kuna haja ya Serikali kuwekeza kwenye Somo la ndoa. Kwa Nchi yetu ukitoa vifo vya ajali mbali mbali basi zinafuatia vifo vya Mahusiano. Hakika kwenye hili kunahitajika Syllabus mtu afaulu ndipo aingie kwenye Ndoa.
Nisiseme sana ila Wadau watakuwa wameelewa.
Ndoa ni familia. Familia ndo jamii na jamii ni Nchi. Hakika kuna haja ya Serikali kuwekeza kwenye Somo la ndoa. Kwa Nchi yetu ukitoa vifo vya ajali mbali mbali basi zinafuatia vifo vya Mahusiano. Hakika kwenye hili kunahitajika Syllabus mtu afaulu ndipo aingie kwenye Ndoa.
Nisiseme sana ila Wadau watakuwa wameelewa.