#COVID19 Nashauri Serikali ifanye utaratibu wa kupima raia wake Corona

#COVID19 Nashauri Serikali ifanye utaratibu wa kupima raia wake Corona

Emar

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
1,789
Reaction score
2,965
Kama tujuavyo janga la Corona linavyo shika kasi. Hata hvyo serikali yetu kwa kushindwa kufunga mipaka inaongeza muingiliano hivyo ni kweli watanzania tumeuvaa. Kwamimi binafsi na mwezi wa pili na dalili zote za Corona. Kwasasa hadi baadhi ya shughuri nimeahirisha.

-Kwanzia mafua (sina kawaida ya kuumwa mafua)
  • homa
  • Maumivu ya kwenye maungio zaid ya miezi miwili
  • Uchovu
  • kifua kubana

Nahii imedumu toka Mwezi wa pili.

Hata hvyo nimekutana na nimepigiwa simu na watu kadhaa wakinieleza dalili tajwa wakiomba ushauri

Ukweli huu ugonjwa upo na wengi tumepata. Nafahamu serikali inalitambua, Ila sasa kuna siasa na matisho mengi kiasi kwamba hata wananchi wanaogopa kwenda vituo vya afya.

Serikali haina budi kupima raia wake wote especially wa majiji kama Dar na Arusha na Moshi .kabla mambo hayajazid kuwa mabaya.

Ambapo ndo chimbuko na mwingiliano ni mkubwa. Mwisho hili janga ni kubwa Kuliko uwezo wetu . Tusisahau kusali kila mtu kwa imani yake. Tulinde wazee, na watoto na wagonjwa haswa. Natilia mkazo haswa.

Kama unauwezo jifungie ndani na familia yako uwokoe unaowapenda .sipotoshi ila nasema ukweli.

Nunua bidhaa muhimu weka ndani hujui la kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Ila sasa kuna siasa na matisho mengi kiasi kwamba hata wananchi wanaogopa kwenda vituo vya afya."

Naomba ufafanuzi hapo kwenye Matisho, yalikufanya uogope/wananchi waogope kwnda kupima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila Mtu anaongea lake kwanzia kiongozi hadi mtu wa kawaida.
Baadhi ya vingozi wanasema Corona si hatari tufanye kazi.
Takwimu za kidunia ni jinamizi lenye kutisha. Vifo na matamko.
Hali ya maisha ya mtanzania mmoja mmoja na yenyewe ni jambo la kutisha.
Pale mtu anapofikiria kwamba atahitajika siku kadhaa kuwekwa Carantine,(ili hali inaitajika mtu ufanye kazi kwaajiri ya kumudu maisha)

Na mengine mengi sana
"Ila sasa kuna siasa na matisho mengi kiasi kwamba hata wananchi wanaogopa kwenda vituo vya afya."




Naomba ufafanuzi hapo kwenye Matisho, yalikufanya uogope/wananchi waogope kwnda kupima.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tujuavyo janga la Corona linavyo shika kasi. Hata hvyo serikali yetu kwa kushindwa kufunga mipaka inaongeza muingiliano hivyo ni kweli watanzania tumeuvaa. Kwamimi binafsi na mwezi wa pili na dalili zote za Corona. Kwasasa hadi baadhi ya shughuri nimeahirisha.

-Kwanzia mafua (sina kawaida ya kuumwa mafua)
- homa
- Maumivu ya kwenye maungio zaid ya miezi miwili
- Uchovu
- kifua kubana

Nahii imedumu toka Mwezi wa pili.

Hata hvyo nimekutana na nimepigiwa simu na watu kadhaa wakinieleza dalili tajwa wakiomba ushauri

Ukweli huu ugonjwa upo na wengi tumepata. Nafahamu serikali inalitambua, Ila sasa kuna siasa na matisho mengi kiasi kwamba hata wananchi wanaogopa kwenda vituo vya afya.

Serikali haina budi kupima raia wake wote especially wa majiji kama Dar na Arusha na Moshi .kabla mambo hayajazid kuwa mabaya.

Ambapo ndo chimbuko na mwingiliano ni mkubwa. Mwisho hili janga ni kubwa Kuliko uwezo wetu . Tusisahau kusali kila mtu kwa imani yake. Tulinde wazee, na watoto na wagonjwa haswa. Natilia mkazo haswa.

Kama unauwezo jifungie ndani na familia yako uwokoe unaowapenda .sipotoshi ila nasema ukweli.

Nunua bidhaa muhimu weka ndani hujui la kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uezo wa kupima upo tatizo ajeti
 
Kama tujuavyo janga la Corona linavyo shika kasi. Hata hvyo serikali yetu kwa kushindwa kufunga mipaka inaongeza muingiliano hivyo ni kweli watanzania tumeuvaa. Kwamimi binafsi na mwezi wa pili na dalili zote za Corona. Kwasasa hadi baadhi ya shughuri nimeahirisha.

-Kwanzia mafua (sina kawaida ya kuumwa mafua)
- homa
- Maumivu ya kwenye maungio zaid ya miezi miwili
- Uchovu
- kifua kubana

Nahii imedumu toka Mwezi wa pili.

Hata hvyo nimekutana na nimepigiwa simu na watu kadhaa wakinieleza dalili tajwa wakiomba ushauri

Ukweli huu ugonjwa upo na wengi tumepata. Nafahamu serikali inalitambua, Ila sasa kuna siasa na matisho mengi kiasi kwamba hata wananchi wanaogopa kwenda vituo vya afya.

Serikali haina budi kupima raia wake wote especially wa majiji kama Dar na Arusha na Moshi .kabla mambo hayajazid kuwa mabaya.

Ambapo ndo chimbuko na mwingiliano ni mkubwa. Mwisho hili janga ni kubwa Kuliko uwezo wetu . Tusisahau kusali kila mtu kwa imani yake. Tulinde wazee, na watoto na wagonjwa haswa. Natilia mkazo haswa.

Kama unauwezo jifungie ndani na familia yako uwokoe unaowapenda .sipotoshi ila nasema ukweli.

Nunua bidhaa muhimu weka ndani hujui la kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
hata ukapima watu wote ukakuta wanayo ndio utawapa dawa? akati ugojwa unapona wenyewe na unaonekana kwa africa wengi walio test postive hawaja onesha dalili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna makundi Maalumu kama wazee, wagonjwa na watoto.
Ugonjwa huu una athali kubwa kwao
hata ukapima watu wote ukakuta wanayo ndio utawapa dawa? akati ugojwa unapona wenyewe na unaonekana kwa africa wengi walio test postive hawaja onesha dalili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipimo vitaanza kuuzwa na wenzetu mpaka kwenye Amazon kwa watu binafsi
Mtu anapimwa na thermometer au thermostat scanner ili kujua tu kiwango cha joto
Lakini sio vipimo sahihi hivyo
Hivi vipimo vitapatikana karibuni
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kuna watu wanatafuta vijisababu hata vya kipumbavu ili wahalalishe agenda zao tu.


Kama ugonjwa ungekuwa umeingia watu wangekuwa wameshaanza kwenda hospitali na casualties zingeshaanza kuonekana.


Sasa anataka wapimwe ili agundue nini wakati hakuna serious impact kama hivyo anayotaka kuionyesha hapa ?
Sasa kama umeugua na kupona upimwe ili iweje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajuaje kiongozi , ni vzr kila Mwananchi akapima.
Hebu fikiria Mbowe kiongozi Mkubwa wa Serikali kaficha Mgonjwa ndani vp kuhusu hawa watu kapuku wa mlo mmoja
Kuna watu wanatafuta vijisababu hata vya kipumbavu ili wahalalishe agenda zao tu.


Kama ugonjwa ungekuwa umeingia watu wangekuwa wameshaanza kwenda hospitali na casualties zingeshaanza kuonekana.


Sasa anataka wapimwe ili agundue nini wakati hakuna serious impact kama hivyo anayotaka kuionyesha hapa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinga za watu ni tofauti,
Tuna makundi maalumu majumbani kiongozi
Kuna watu wanatafuta vijisababu hata vya kipumbavu ili wahalalishe agenda zao tu.


Kama ugonjwa ungekuwa umeingia watu wangekuwa wameshaanza kwenda hospitali na casualties zingeshaanza kuonekana.


Sasa anataka wapimwe ili agundue nini wakati hakuna serious impact kama hivyo anayotaka kuionyesha hapa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu binafsi kuna kitu hii serikali inanishangaza sana tena sana ila basi tu

Moja tangu tuambiwe wagonjwa wako 11 Tanzania bara na 3 visiwani,huku bara hakuna updates zozote juu ya huu ugonjwa,ni muhimu sana wananchi wapate taarifa za maambukizi ni watu wangapi wako na covid 19 na ni wanapatikana mkoa gani ,hii itasaidia watu kujua na kuchukua tahadhari zaidi,lakini Leo hii wamekaa kimya hakuna taarifa za maambukizi lakini ukweli ni kwamba maambukizi mapya hapo,ila yanafichwa na sijui yanafichwa kwa faida ya nani

Pili serikali hii inaomba watu wachangie pesa ili kupambana na covid 19 ,hebu jiulize hiyo pesa ya kazi gani, ina maana serikali imeshidwa kuhudumia wagonjwa 13 tu iliokuwa nao hadi ilazimishe watu kuchangia pesa ,je hizo pesa zinachangwa kwa matumizi yapi wakati serikali imeshadhibiti maambukizi kwani ni wiki tatu sasa zimepita bila kuwa na maambukizi mapya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom