Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,189
- 6,450
- Thread starter
-
- #21
Hiyo 1,000,000 ya kuwapa si issue. Issue ni bado ntahitajila kusimama kuwapata. Nachotaka ni safari ambayo haina kusimama simama. So iwepo barabara ya mwendo kasiBarabara yote kuanzia Dar mpaka Dom ukipigwa tochi nyingi sana labda 2 au 3. Sasa boss mkubwa kama wewe ulishindwa kutenga 100k ya faini kweli?[emoji1783]
Kiduku Lilo naona umeanza kuchuja sasa[emoji851]
Unforgetable
Diva yupo loco sana kwa big Boss Kiduku amtamdhalilisha tu akiwa na marafiki zakeKwanza Diva anatafuta Mume kama wewe
Nyie huyuuuuuuu ,,,njaa inauma watu hatujakunywa chaiUnajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5.
Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye hizi ndege. Last week nlikuwa naenda Dodoma nikaona niende na Range Rover nisitumie ndege ili pia nipate ku enjoy mazingira.
Actually wazo hilo nililipata asubuhi tu maana tayari nlikuwa na ticket ya ndege nikaamka nikawaza why dont iIuse my car? Basi nikarudisha ticket kwenye kabati nikapanga nguo zangu nikawasha gari ndo nikaanza ondoka.
Shida ilianzia maeneo flani hivi Mbezi kulikuwa na congestion moja ya ajabu sana mwendo ulikuwa kama tupo kwenye matembezi ya mshikamano, toka saa mbili nakuja fika Morogoro saa saba.
Barabara zimejaa traffic na sheria za mwendo usiozid 50 kms. Huwezi imagine nimefika Morogoro muda ule ule kama Vitz, Rav4, Harrier, Nissan zilizofika. Inaumiza sana. Gari yangu Range Rover nliyotumia ina speed 240+ inafika muda sawa na usafiri wenye speed 180.
Hii barabara nadhani imeshashindikana. Mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.
Hii itasaidia hata sisi wenye magari yetu tuwe tuna enjoy maana inaudhi sana unasoma kwenye dashboard kms 240 ila njiani vimejaa vibao kuwa usizidishe speed kms 50 kwa saa. Unawaza hizi speed 190 unamwachia nani?
Huwa nawaza, je haitafikia hata gari zikaanza kuzoea kutembea speed ndogo kiasi uki engage mpaka 160 inagoma?
Serikali itengeneze barabara za mwendokasi zitakuwa pia ni chanzo kizuri cha mapato. Kama lile daraja la baharini la Salenda tuwe tunalipia 10,000 kwa siku ili sasa watu wasije wakawa wanajazana kule na kusababisha foleni.
Nashauri hata lile daraja la Ubungo kwenye junction tuwe tunalipia hata tsh 5,000 tu kwa mpito mmoja.
Kila napokuwa barabarani niwe na Range, BMW, GMC, Benz au VW nikiona hizi Toyota, Nissan, Isuzu, Subaru naumia kuwa zinafika safari moja na mimi ninayeendesha RR au BMW? Naona kama gari zangu zinakuwa ktk kundi moja na huo usafiri wa umma wa kitanzania. Si sahihi.
😂 😂 😂 huyo ni msela tu, ukute hana hata baiskeliHuyo fogo hajui hata bariadi ni wap
Mkuu mtake radhi tajiri!Utachukiwa na Umoja wa Mataifa!Usikute hata chai na andazi mpaka saizi bado hujapata asubuhi hii
Mafuta ya kupikia yamepanda bei? Lini tena?Mkuu kiduku,hivi utaendelea kuturusha robo kwa "mitano tena" au tuzingatie upandaji wa bei ya mafuta ya kupika?The big potato himself!
Hata mimi nimejua hilo nilipofika hapa kibandani kwa mamalishe.Ameng'ang'ania nimlipe shilingi mia saba kwa bakuli la kande badala ya mia tano.Anadai mafuta ya kula ndiyo sababu ya kupanda bei ya bakuli la kande.Nimemwambia kama ni mafuta mbona mimi ninayo mwilini!Kesho asiniwekee.Mafuta ya kupikia yamepanda bei? Lini tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikatoa tiketi alafu nikairudisha kabatini.
Ngoja nkanywe chai kwanza[emoji2][emoji2][emoji2]
Kwamba tiketi ina kaa kabatini pamoja kuilipia eti kairhdishia humo kaenda na gari ina maana nauli ya tiketi imepotea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
dar-dodoma ni around dola 150+ kuwa kaitupa?hii chai katia pilyipilyiKwamba tiketi ina kaa kabatini pamoja kuilipia eti kairhdishia humo kaenda na gari ina maana nauli ya tiketi imepotea
Ndio maana nimaemua kuwaachia nikanywe chaidar-dodoma ni around dola 150+ kuwa kaitupa?hii chai katia pilyipilyi
Nimeangalia mwandiko tu, nikajua wewe ni jirani yangu kabisa huku Kitwechenkula, Kyerwa.Unajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5.
Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye hizi ndege. Last week nlikuwa naenda Dodoma nikaona niende na Range Rover nisitumie ndege ili pia nipate ku enjoy mazingira.
Actually wazo hilo nililipata asubuhi tu maana tayari nlikuwa na ticket ya ndege nikaamka nikawaza why dont iIuse my car? Basi nikarudisha ticket kwenye kabati nikapanga nguo zangu nikawasha gari ndo nikaanza ondoka.
Shida ilianzia maeneo flani hivi Mbezi kulikuwa na congestion moja ya ajabu sana mwendo ulikuwa kama tupo kwenye matembezi ya mshikamano, toka saa mbili nakuja fika Morogoro saa saba.
Barabara zimejaa traffic na sheria za mwendo usiozid 50 kms. Huwezi imagine nimefika Morogoro muda ule ule kama Vitz, Rav4, Harrier, Nissan zilizofika. Inaumiza sana. Gari yangu Range Rover nliyotumia ina speed 240+ inafika muda sawa na usafiri wenye speed 180.
Hii barabara nadhani imeshashindikana. Mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.
Hii itasaidia hata sisi wenye magari yetu tuwe tuna enjoy maana inaudhi sana unasoma kwenye dashboard kms 240 ila njiani vimejaa vibao kuwa usizidishe speed kms 50 kwa saa. Unawaza hizi speed 190 unamwachia nani?
Huwa nawaza, je haitafikia hata gari zikaanza kuzoea kutembea speed ndogo kiasi uki engage mpaka 160 inagoma?
Serikali itengeneze barabara za mwendokasi zitakuwa pia ni chanzo kizuri cha mapato. Kama lile daraja la baharini la Salenda tuwe tunalipia 10,000 kwa siku ili sasa watu wasije wakawa wanajazana kule na kusababisha foleni.
Nashauri hata lile daraja la Ubungo kwenye junction tuwe tunalipia hata tsh 5,000 tu kwa mpito mmoja.
Kila napokuwa barabarani niwe na Range, BMW, GMC, Benz au VW nikiona hizi Toyota, Nissan, Isuzu, Subaru naumia kuwa zinafika safari moja na mimi ninayeendesha RR au BMW? Naona kama gari zangu zinakuwa ktk kundi moja na huo usafiri wa umma wa kitanzania. Si sahihi.