Nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo ita-charge hata Tsh 1000 kwa Km 1, ila speed isipungue 150 kwa saa

Nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo ita-charge hata Tsh 1000 kwa Km 1, ila speed isipungue 150 kwa saa

Unajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5.

Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye hizi ndege.last week nlikuwa naenda Dodoma.nikaona niende na Range Rover nisitumie ndege ili pia nipate ku enjoy mazingira.

Actually wazo hilo nililipata asubuhi tu maana tayari nlikuwa na ticket ya ndege nikaamka nikawaza why dont i use my car? Basi nikarudisha ticket kwenye kabati nikapanga nguo zangu nikawasha gari ndo nikaanza ondoka.

Shida ilianzia maeneo flani hivi Mbezi kulikuwa na congestion moja ya ajabu sana mwendo ulikuwa kama tupo kwenye matembezi ya mshikamano.
toka saa mbili nakuja fika Morogoro saa saba.

Barabara zimejaa traffic na sheria za mwendo usiozid 50 kms. Huwezi imagine nimefika Morogoro muda ule ule kama vitz,rav4,harrier,nissan zilizofika. Inaumiza sana. Gari yangu Range Rover nliyotumia ina speed 240+ inafika muda sawa na usafiri wenye speed 180.

Hii barabara nadhani imeshashindikana.mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km. Ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.

Hii itasaidia hata sisi wenye magari yetu tuwe tuna enjoy.maana inaudhi sana unasoma kwenye dashboard kms 240 ila njiani vimejaa vibao kuwa usizidishe speed kms 50 kwa saa. Unawaza hizi speed 190 unamwachia nani?

Huwa nawaza je haitafikia hata gari zikaanza kuzoea kutembea speed ndogo kiasi uki engage mpaka 160 inagoma?

Serikali itengeneze barabara za mwendokasi zitakuwa pia ni chanzo kizuri cha mapato. Kama lile daraja la baharini la salenda tuwe tunalipia 10,000 kwa siku ili sasa watu wasije wakawa wanajazana kule na kusababisha foleni.

Nashauri hata lile daraja la ubungo kwenye junction tuwe tunalipia hata tsh 5,000 tu kwa mpito mmoja.

Kila napokuwa barabarani niwe na Range, BMW,GMC ,Benz au VW nikiona hizi Toyota,Nissan,Isuzu,Subaru naumia.kuwa zinafika Safari moja na mimi ninayeendesha RR au BMW? Naona kama gari zangu zinakuwa ktk kundi moja na huo usafiri wa umma wa kitanzani. Si sahih

Unajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5.

Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye hizi ndege.last week nlikuwa naenda Dodoma.nikaona niende na Range Rover nisitumie ndege ili pia nipate ku enjoy mazingira.

Actually wazo hilo nililipata asubuhi tu maana tayari nlikuwa na ticket ya ndege nikaamka nikawaza why dont i use my car? Basi nikarudisha ticket kwenye kabati nikapanga nguo zangu nikawasha gari ndo nikaanza ondoka.

Shida ilianzia maeneo flani hivi Mbezi kulikuwa na congestion moja ya ajabu sana mwendo ulikuwa kama tupo kwenye matembezi ya mshikamano.
toka saa mbili nakuja fika Morogoro saa saba.

Barabara zimejaa traffic na sheria za mwendo usiozid 50 kms. Huwezi imagine nimefika Morogoro muda ule ule kama vitz,rav4,harrier,nissan zilizofika. Inaumiza sana. Gari yangu Range Rover nliyotumia ina speed 240+ inafika muda sawa na usafiri wenye speed 180.

Hii barabara nadhani imeshashindikana.mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km. Ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.

Hii itasaidia hata sisi wenye magari yetu tuwe tuna enjoy.maana inaudhi sana unasoma kwenye dashboard kms 240 ila njiani vimejaa vibao kuwa usizidishe speed kms 50 kwa saa. Unawaza hizi speed 190 unamwachia nani?

Huwa nawaza je haitafikia hata gari zikaanza kuzoea kutembea speed ndogo kiasi uki engage mpaka 160 inagoma?

Serikali itengeneze barabara za mwendokasi zitakuwa pia ni chanzo kizuri cha mapato. Kama lile daraja la baharini la salenda tuwe tunalipia 10,000 kwa siku ili sasa watu wasije wakawa wanajazana kule na kusababisha foleni.

Nashauri hata lile daraja la ubungo kwenye junction tuwe tunalipia hata tsh 5,000 tu kwa mpito mmoja.

Kila napokuwa barabarani niwe na Range, BMW,GMC ,Benz au VW nikiona hizi Toyota,Nissan,Isuzu,Subaru naumia.kuwa zinafika Safari moja na mimi ninayeendesha RR au BMW? Naona kama gari zangu zinakuwa ktk kundi moja na huo usafiri wa umma wa kitanzani. Si sahihi.

Mafuta ya kupikia yamepanda bei? Lini tena?
Mkuu, comments zingine unasoma tafadhali sana, pitia yangu ni ya kwanza, naomba upitie.
 
Barabara yote kuanzia Dar mpaka Dom ukipigwa tochi nyingi sana labda 2 au 3. Sasa boss mkubwa kama wewe ulishindwa kutenga 100k ya faini kweli?[emoji1783]

Kiduku Lilo naona umeanza kuchuja sasa[emoji851]
Unforgetable

kweli, nimepita sana na gari hiyo road tena sehemu zingine walinisamehe tu jamaa ananiuliza wewe mtumish ? namjibu ndio napita kama upepo, barabara yenye toch nyingi za kukera ni highway ya dar to mbeya huko kudadeki utatema ndoano mwenyewe
 
Kwamba tiketi ina kaa kabatini pamoja kuilipia eti kairhdishia humo kaenda na gari ina maana nauli ya tiketi imepotea
Mkuu kwa kweli huwa sipendi kusumbuana na watu eti niwaambie nimeahirisha sijui warudishe nauli no. Dont do that.kama seat yangu watampa mtu mwingine. Wampe tu wala si big deal. Kuna mashirika mengine ya ndege mimi husafiri kwa coupon.yaani anytime nikipata safari naelekea Airport nawaambia nataka kwenda Mbeya ,Arusha au Uk n.k wanitafutie usafiri.kama seats zao zimejaa wanaangalia kwa wenzao so ndo ipo mi ni mteja wao sana.
 
Mkuu kwa kweli huwa sipendi kusumbuana na watu eti niwaambie nimeahirisha sijui warudishe nauli no. Dont do that.kama seat yangu watampa mtu mwingine. Wampe tu wala si big deal. Kuna mashirika mengine ya ndege mimi husafiri kwa coupon.yaani anytime nikipata safari naelekea Airport nawaambia nataka kwenda Mbeya ,Arusha au Uk n.k wanitafutie usafiri.kama seats zao zimejaa wanaangalia kwa wenzao so ndo ipo mi ni mteja wao sana.
Ahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna mwamba kakomenti mwanzoni lakin unampotezea boss wangu hebu msikilize boss kama wewe huwezi kimbia mtaji mdogo kama ule
 
Hii barabara nadhani imeshashindikana. Mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.
Kwa barabara itakayotumiwa na matajiri wachache kiasi hicho, rate ya Sh. 1000/km haiwezi kurudisha gharama za ujenzi kabla barabara haijaonekana mbovu kwa viwango vya matajiri. Hivyo basi, tupendekeze kwa serikali iwe wana-charge angalau Sh. 100,000/km.
 
Back
Top Bottom