Nashauri Serikali iondoe kodi kwenye 'Peds' na 'Pampasi'

Nashauri Serikali iondoe kodi kwenye 'Peds' na 'Pampasi'

Joined
Nov 3, 2024
Posts
55
Reaction score
92
Nashauri serikali iondowe kodi kwenye peds na pampasi na zigawiwe bure kwenye shule zote za serikali na binafsi,pia hata kwa wenye mahitaji maalum.

Kwa mfano kuna kijana wa kiume jirani yangu anasoma shule ya msingi kila siku mama yake analazimika kununuwa pampasi Mana pasipo hivyo si mkojo wala haja kubwa vyote hawezi kujisitiri.

Mama mwenyewe maisha ni duni mara akalinde mara vibarua yani ni shida. Anaishi nyumba ya shule mtu huyu alipewa hifadhi na mwalimu mkuu.

Na mwanaye anasoma hapo.Ni manispaa ya Songea shule ya msingi Luhira anapatikana kijana huyo na mzazi wake.Najuwa wapowahitaji wengi hii iwe sehemu ya kuanzia.
 
Nashauri serikali iondowe kodi kwenye peds na pampasi na zigawiwe bure kwenye shule zote za serikali na binafsi,pia hata kwa wenye mahitaji maalum.Kwa mfano...
Mimi naona kijana wa kiume atakuwa ana tatizo ambalo labda linaweza kurekebishika, hivyo , ungeomba watu watatue tatizo kubwa , na kipindi yupo kwenye matibabu labda hapo ndio apewe pampers
 
Kama serikali ita ondoa kodi basi ziuzwe bei ya chini sawa na biscuits la sivyo wahuni wata pata pa kupiga pesa uku kodi ikipotea
 
Kabisa pads na pampers zishuke bei
Imagine pakti moja ya pad inauzwa hadi sh 4000, na unahitaji 2 wengine hadi 3 kwa mzunguko...it's hectic
 
Back
Top Bottom