Nashauri Serikali itoe mikopo kwa wanafunzi wa masters bila kuweka kigezo cha kuajiriwa serikalini bali kigezo kiwe gpa 3.5 undergraduate

BAnk gan wanakopesha krahisi vjana mkuu?
 
Unataka kusoma masters na huna ela? Aina ya watu wanaojiita wasomi kama wewe ni changamoto. Kwanza elimu yako uliyokuwa nayo imeleta manufaa gani kwa jamii yako kabla ya kutaka kosemeshwa na serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…