BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Huko Tanganyika unaweza ukasoma miaka na miaka mpaka mgongo ukapinda, halafu ukimaliza kusoma unaambiwa kawe KONDAKTA.
Na usiombe uwe kondakta mwenye digriii, utasimangwa mpaka na sisimizi. Ukikodoa jicho unaona kila mtu anakuzomea. Unaamua kuvaa miwani myeusi.
Utafiti wa kitaalamu unaonesha kuwa, hakuna haja ya kusoma hadi chuo kikuu ili uwe KONDAKTA. Unaweza ukawa KONDAKTA bila kufika hata FOM FOO. Unaingia mzigoni unakusanya maokoto kiulani.
Nashauri shule zote nchini zifungwe, hatuwezi kuwa tunalipa makodi mengi, tunalipa walimu, tunalipa mabilioni ya kusomesha wanavyuo, tunajenga majengo ya mapesa mengi, KWA AJILI YA kuzalizisha MAKONDAKTA.
Kama ni UKONDATA tutajifunza hata kwenye google. Uki-google magari ya kwenda gomzi unapata material yote unajisomea unapata ujuzi wa kuwa KONDAKTA.
Hili nalo MKALITIZAME, tuna mambo mengi ya kufanya, hatuwezi kuwa na nchi inayotumia matrilioni kusomesha MAKONDAKTA.
Ni bora hizo hela tujenge barabara za lami ili MAKONDAKTA wapite na magari yao bila bughudha. Hii itakuza ajira.
Na usiombe uwe kondakta mwenye digriii, utasimangwa mpaka na sisimizi. Ukikodoa jicho unaona kila mtu anakuzomea. Unaamua kuvaa miwani myeusi.
Utafiti wa kitaalamu unaonesha kuwa, hakuna haja ya kusoma hadi chuo kikuu ili uwe KONDAKTA. Unaweza ukawa KONDAKTA bila kufika hata FOM FOO. Unaingia mzigoni unakusanya maokoto kiulani.
Nashauri shule zote nchini zifungwe, hatuwezi kuwa tunalipa makodi mengi, tunalipa walimu, tunalipa mabilioni ya kusomesha wanavyuo, tunajenga majengo ya mapesa mengi, KWA AJILI YA kuzalizisha MAKONDAKTA.
Kama ni UKONDATA tutajifunza hata kwenye google. Uki-google magari ya kwenda gomzi unapata material yote unajisomea unapata ujuzi wa kuwa KONDAKTA.
Hili nalo MKALITIZAME, tuna mambo mengi ya kufanya, hatuwezi kuwa na nchi inayotumia matrilioni kusomesha MAKONDAKTA.
Ni bora hizo hela tujenge barabara za lami ili MAKONDAKTA wapite na magari yao bila bughudha. Hii itakuza ajira.