Cobra70
Senior Member
- Jan 2, 2020
- 178
- 376
Ninawaza kwa Sauti ya chini sana nikiwa nakunywa taratibu kiburudisho kisicholewesha.
Ni hivi vijana wengi wa Kitanzania wamekuwa na ndoto au matamanio ya kujiunga na jeshi la JW na hivyo kupelekea wengine kushindwa vigezo vya kujiunga na jeshi hilo na wengine kudondokea kwenye mikono ya matapeli kwa ahadi ya kutafutiwa nafasi ya kozi katika jeshi hilo.
Point yangu ni hivi wanaume wa Congo wameonekana ni dhaifu na waoga kuilinda nchi yao, Je mnaonaje mkiwapa mafunzo ya JW vijana wetu wote ambao hawana kazi na waliomaliza vyuo ambao ni wavivu kazi yao ni kusubiria ajira za serikali ili kwenda kule kuwasaidia waCongo kulinda mali zao kwa mkataba mnono wa kuinua uchumi wetu?
Kwa point za hapo juu suala la ajira tutakuwa tumelitibu kwa kiasi chake na pia uchumi wetu utakuwa kwa kasi sana. Akili za warwanda na waganda nahisi waliwaza kama mimi ahsante na hapo tutakuwa tumewapiga spana.
Ni hivi vijana wengi wa Kitanzania wamekuwa na ndoto au matamanio ya kujiunga na jeshi la JW na hivyo kupelekea wengine kushindwa vigezo vya kujiunga na jeshi hilo na wengine kudondokea kwenye mikono ya matapeli kwa ahadi ya kutafutiwa nafasi ya kozi katika jeshi hilo.
Point yangu ni hivi wanaume wa Congo wameonekana ni dhaifu na waoga kuilinda nchi yao, Je mnaonaje mkiwapa mafunzo ya JW vijana wetu wote ambao hawana kazi na waliomaliza vyuo ambao ni wavivu kazi yao ni kusubiria ajira za serikali ili kwenda kule kuwasaidia waCongo kulinda mali zao kwa mkataba mnono wa kuinua uchumi wetu?
Kwa point za hapo juu suala la ajira tutakuwa tumelitibu kwa kiasi chake na pia uchumi wetu utakuwa kwa kasi sana. Akili za warwanda na waganda nahisi waliwaza kama mimi ahsante na hapo tutakuwa tumewapiga spana.