Nashauri timu ya Taifa isitoe wachezaji wanaocheza ligi.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Hawa wachezaji wanaocheza ligi mbalimbali wanatuangusha miaka nenda rudi. Na tatizo kubwa utasikia nichemistry. Kwamba hawajazoeana. Nashauri tuwe na timu ya taifa kama waajiliwa rasmi. Kazi yao iwe ni kutoka asubuhi nyumbani kwenda kujifunza mpira na kufanya mazoezi na kucheza mechi za kirafiki. Siku ya mechi wanatumika hao waliozoeana kila siku. Kipindi cha usajili timu ya taifa nayo iwe inagombaniana na vilabu kwenye usajili. Tunaweza kuwa na timu bora kwa mtindo huu.
Mfumo wa kuchukua wachezaji wanaocheA ligi unafanya kazu kwa wenzetu ila unaonekana kwetu umefeli.
 
Nashauri tuachane bna na mpira wa miguu

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Mimi nashauri ifutwe kabisa na hats tukifungiwa poa tu, ikishindikana tufanye mabadiliko kwenye jina. Iitwe timu ya taifa ya Tanzania. Mimi naona kinyaa kuita Taifa stars ilihali nyota wenyewe siwaoni,naona vichezaji vnacheza utumbo tu uwanjani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli wewe hamnazo
 
Hiyo sijui kama itawezekana
Inawezekana tena tunaweza kuwa na timu nzuri sana. Kuliko huyu yuko simba wanacheza style hii na mwingine yuko mtibwa anacheza style nyingine kisha wanakusanywa ndani ya wiki na kufundishwa kucheza pamoja. Wakiwa wanacheza pamoja mwaka mzima, siku zote tutapata timu bora sana.
 
Aisee aya mkuu
 
Hiyo haijawahi kuwa namna ya uendeshaji wa mpira, japo inaweza kuwa ubunifu katika mpira

Oddly enough, people on the Internet are more real than people in real life. The ability to act anonymously makes us much more genuine.
 
Hiyo haijawahi kuwa namna ya uendeshaji wa mpira, japo inaweza kuwa ubunifu katika mpira

Oddly enough, people on the Internet are more real than people in real life. The ability to act anonymously makes us much more genuine.
baada ya malinzi kukatisha mkataba na kim poulsen..tukarudi nyuma kisoka hadi 2006,stars ya mayanja ni sawa na stars ya msolwa iliyocheza na rwanda 2006 pale shamba la bibi maximo akiwa jukwaani..hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…