Nashauri tuibakishe Team AVIC TOWN kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2022/23

Ni ulimbukeni tu wakipumbavu wakati muda unakuwa hauruhusu
Kwan ukisema pesa hakuna, unapungukiwa nn??
Si ndo nyie mlikua mnajifaragua wazi wazi, sijui Marekani mara Uturuki. Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: BRN
Kwan ukisema pesa hakuna, unapungukiwa nn??
Si ndo nyie mlikua mnajifaragua wazi wazi, sijui Marekani mara Uturuki. Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaah! Pesa imeisha mama
 
acheni longolongo nyie team haina hela bana na Uturuki mnadaiwa millions 200 za kutotii mkataba wa kambi..halafu mnatubania pua eti Senzo ni genius, karatu imekuwa ngumu tena?
Watu wanaenda kuzurura huko afu wanakuja kufungwa na Prisons.
 
Hili wazo ni zuri ila uongozi unapaswa kutafuta mechi zisizopungua tatu za kimataifa za kirafiki kwaajili ya kujipima nguvu.

Mechi 3 sio za msingi sana.

Kama mbele yetu kuna Kilele cha Wananchi na Agosti 13. Hizi mechi mbili zinaweza kabisa kutosha kujipima nguvu.

Halafu mechi ya kirafiki sio lazima ucheze na timu ngumu.

Simba walicheza mechi nne huko Morrocco lakini iliwasaidia nini kwenye ligi?
 
Mi nashauri Kambi ifanyikie Mbeya au Arusha na hapa Dar wachezaji wapate utulivu na sio kwenda nje ya nchi

Nadhani AVIC TOWN panatosha.

Mbeya hakuna miundo mbinu bora afadhali kidogo Arusha.

Hata hivyo, hali ya hewa ya hiyo mikoa haiendani na mkoa ambapo asilimia 70 ya mechi zitachezwa.
 

Uko sahihi kabisa.
 
Hata sisi simba tumemsajili Okra aliyemaliza mkataba, na sasa tupo zetu preseason ismailia Misri.

Wachezaji wengi sikuhizi wanapenda wasajiliwe wakiwa wamemaliza mkataba ili wapate fedha nyingi.

Okrah hakuwa amemaliza mkataba mkuu.

Alibakisha mwaka mmoja (with an option to extend)

Yuko Simba kwa Mkopo (Loan) hatima yake itafahamuka baada ya mwaka mmoja kutoka Agosti 1 ya mwaka huu 2022.
 
Pesa yote kabeba Azizi ki , acha kelele
 
Hata shelisheli tumeshindwa kweli ndio twende matombo
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…