sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Kuliko kulipa watu mishahara kila mwezi kisha majanga yakiyokea hawaoneoani,
Tulivunje jeshi la zimamoto, waruhusiwe watu/kampuni binafsi kua na vifaa na ofisi zao.
Likitokea janga, wanashiriki imasavyo kisha wanalipwa, hii ingepunguza ngarama nanadhan private watakua effective.
Tulivunje jeshi la zimamoto, waruhusiwe watu/kampuni binafsi kua na vifaa na ofisi zao.
Likitokea janga, wanashiriki imasavyo kisha wanalipwa, hii ingepunguza ngarama nanadhan private watakua effective.