Kuliko kulipa watu mishahara kila mwezi kisha majanga yakiyokea hawaoneoani,
Tulivunje jeshi la zimamoto, waruhusiwe watu/kampuni binafsi kua na vifaa na ofisi zao.
Likitokea janga, wanashiriki imasavyo kisha wanalipwa, hii ingepunguza ngarama nanadhan private watakua effective.