Nashauri tuwatumie wataalam waliopo kwenye vyama vya siasa kuunda Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi sio na mgombea wa chama tawala kuunda tume hiyo

Nashauri tuwatumie wataalam waliopo kwenye vyama vya siasa kuunda Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi sio na mgombea wa chama tawala kuunda tume hiyo

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
Naomba nisisitize kwamba utaratibu uliopo wa mgombea wa chama tawala kuunda tume huru hii sio demokrasia na ili ipatikane tume huru na ya kisasa zaid itakayo fanya haki nilishauri kwenye jukwaa la stories of change kwamba tume huru ikaundwe na wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini hapa ndipo tutaenda kupata tume bora zaidi kuliko ya kupatikana kutoka kwa mgombea wa chama tawala kwani hii sio demokrasia wala haki na hiyo tume haitakuwa ya kisasa wala yenye ubora wowote.

Nilishauri iundwe kamati itakayojumuisha wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini hawa ndio watakaa na kuangalia namna ya kutuletea tume bora na ya haki ambayo itakuwa ni zaidi ya ile anayo iunda mgombea wa chama tawala. lakini pia wataalamu hawa watakao unda tume kutoka katika vyama vyao watachaguliwa au kuteuliwa na uongozi au wanachama wa vyama wanavyo viwakilisha sio na mgombea wa chama tawala au na mtu mwengine yoyote hii ndio demokrasia tunayoitaka kuelekea tanzania bora tuitakayo.
 
Kwenye vyama kuna tume huru? maana tuanze na wao kwanza
sikuelewi unaongea nini ? ngoja nikueleweshe hii bandiko langu ni kwamba nimeelezea jinsi tume huru inavyopatikana kuwa sio kwanjia za kidemokrasia kwanini? kwasababu chama tawala pekee kikiongozwa na mgombea uraisi ndio wanaunda tume bila vyama vingine kushirikishwa wakati nchi inamfumo wa vyama vingi vya siasa umeona bwana.

kwahiyo hapo nimeshauri tume huru kuundwa na wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini na sio na mgombea wa chama tawala yani mgombea wa uraisi wa ccm ambaye kwasasa ndio anaunda tume alafu ni mgombea umeona bwana.

kwahiyo hapo nimeshauri tume huru isiundwe na mgombea huyo wa chama tawala bali iundwe na vyama vyote vya siasa nchini ambavyo vitawakilishwa na wataalamu kutoka katika vyama hivyo hawa wataalamu ndio watakaa watatuletea tume huru lakini hali ilivyo hivi sasa ni kwamba mgombea anaye wakilisha chama kimoja ambacho kinatawala ndio anaunda tume huru hii ni sawa na chama kimoja kuunda tume huru kikiwakilishwa na mgombea wao lakini pia ni sawa na tume huru kutoundwa na wataalamu sijui umenielewa?

unapo uliza kwenye vyama vya siasa kuna tume huru sijui unaongea nini au hujui kuwa chama cha siasa ndio kinaleta tume huru kwa sasa ?
 
sikuelewi unaongea nini ? ngoja nikueleweshe hii bandiko langu ni kwamba nimeelezea jinsi tume huru inavyopatikana kuwa sio kwanjia za kidemokrasia kwanini? kwasababu chama tawala pekee kikiongozwa na mgombea uraisi ndio wanaunda tume bila vyama vingine kushirikishwa wakati nchi inamfumo wa vyama vingi vya siasa umeona bwana.

kwahiyo hapo nimeshauri tume huru kuundwa na wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini na sio na mgombea wa chama tawala yani mgombea wa uraisi wa ccm ambaye kwasasa ndio anaunda tume alafu ni mgombea umeona bwana.

kwahiyo hapo nimeshauri tume huru isiundwe na mgombea huyo wa chama tawala bali iundwe na vyama vyote vya siasa nchini ambavyo vitawakilishwa na wataalamu kutoka katika vyama hivyo hawa wataalamu ndio watakaa watatuletea tume huru lakini hali ilivyo hivi sasa ni kwamba mgombea anaye wakilisha chama kimoja ambacho kinatawala ndio anaunda tume huru hii ni sawa na chama kimoja kuunda tume huru kikiwakilishwa na mgombea wao lakini pia ni sawa na tume huru kutoundwa na wataalamu sijui umenielewa?

unapo uliza kwenye vyama vya siasa kuna tume huru sijui unaongea nini au hujui kuwa chama cha siasa ndio kinaleta tume huru kwa sasa ?
Kama ndani ya vyama hawataki uchaguzi huru wanapata wapi ujasiri wa kutaka tume huru? vyama vyote ukitoa ACT vina Mwenyeviti wa kudumu hawataki demokrasia wao wenyewe kisa wanapendwa na wanachama wao, nadhani CCM ipo sahihi kama wapinzani wenyewe ndiyo hawa wapumbavu
 
Kama ndani ya vyama hawataki uchaguzi huru wanapata wapi ujasiri wa kutaka tume huru? vyama vyote ukitoa ACT vina Mwenyeviti wa kudumu hawataki demokrasia wao wenyewe kisa wanapendwa na wanachama wao, nadhani CCM ipo sahihi kama wapinzani wenyewe ndiyo hawa wapumbavu
vyama vya siasa ni wananchi hivyo tume huru inakuhusu hata wewe mwananchi sio jukumu la chama flani ni la kila mtanzania
 
Naomba nisisitize kwamba utaratibu uliopo wa mgombea wa chama tawala kuunda tume huru hii sio demokrasia na ili ipatikane tume huru na ya kisasa zaid itakayo fanya haki nilishauri kwenye jukwaa la stories of change kwamba tume huru ikaundwe na wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini hapa ndipo tutaenda kupata tume bora zaidi kuliko ya kupatikana kutoka kwa mgombea wa chama tawala kwani hii sio demokrasia wala haki na hiyo tume haitakuwa ya kisasa wala yenye ubora wowote.

Nilishauri iundwe kamati itakayojumuisha wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini hawa ndio watakaa na kuangalia namna ya kutuletea tume bora na ya haki ambayo itakuwa ni zaidi ya ile anayo iunda mgombea wa chama tawala. lakini pia wataalamu hawa watakao unda tume kutoka katika vyama vyao watachaguliwa au kuteuliwa na uongozi au wanachama wa vyama wanavyo viwakilisha sio na mgombea wa chama tawala au na mtu mwengine yoyote hii ndio demokrasia tunayoitaka kuelekea tanzania bora tuitakayo.
Thubutu, unataka kututowa tonge mdomoni?
 
Naomba nisisitize kwamba utaratibu uliopo wa mgombea wa chama tawala kuunda tume huru hii sio demokrasia na ili ipatikane tume huru na ya kisasa zaid itakayo fanya haki nilishauri kwenye jukwaa la stories of change kwamba tume huru ikaundwe na wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini hapa ndipo tutaenda kupata tume bora zaidi kuliko ya kupatikana kutoka kwa mgombea wa chama tawala kwani hii sio demokrasia wala haki na hiyo tume haitakuwa ya kisasa wala yenye ubora wowote.

Nilishauri iundwe kamati itakayojumuisha wataalamu wa vyama vyote vya siasa nchini hawa ndio watakaa na kuangalia namna ya kutuletea tume bora na ya haki ambayo itakuwa ni zaidi ya ile anayo iunda mgombea wa chama tawala. lakini pia wataalamu hawa watakao unda tume kutoka katika vyama vyao watachaguliwa au kuteuliwa na uongozi au wanachama wa vyama wanavyo viwakilisha sio na mgombea wa chama tawala au na mtu mwengine yoyote hii ndio demokrasia tunayoitaka kuelekea tanzania bora tuitakayo.
Gentleman,
mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania atateuliwa kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi na si viginevyo, mpaka pale sheria na katiba itakapobadilishwa na wananchi huru wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania 🐒
 
Back
Top Bottom