Nashauri viwanda vya bia vianze kutengeneza bia chupa moja yenye ujazo wa bia mbili ili kuwapunguzia wahudumu nenda rudi...

Yaani kama bia INA ujazo wa ml mia tano basi chupa moja Iwe na ml elfu moja ili kwa anayekunywa via mbili anaagiza chupa moja tu,au chupa moja iwekwe ujazo wa bia tano.hii itawapunguzia mzigo wahudumu wa nenda rudi,pia mwaweza kunywa na marafiki
Agiza tatu tatu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…