Ha ha haNilijua tu hili wazo atakuwa katoa mchaga tu ,mchaga kwa pombe kama damu na uhai
AikambeHa ha ha
Mwendo wa Bayern....... Isch liebe bier
No ni bora kila meza kuwe na bomba inayotoa bia haraf pawe pamefugwa mita mtu akimalza kutumia anapewa billYaani kama bia ina ujazo wa ml 500 basi chupa moja iwe na ml 1000 (1lt) ili kwa anayekunywa bia mbili anaagiza chupa moja tu, au chupa moja iwekwe ujazo wa bia tano. Hii itawapunguzia mzigo wahudumu wa nenda rudi, pia mwaweza kunywa na marafiki
Kweli kabisa,usukumani hatupendi mchezomchezoNi kuwa tu kama wasukuma unaagiza full package kumi kwa mkupuo
south Africa,Burundi bia ni mil 750 .kuna miaka hapa Tz kulikuwa na Henken Kombola(750ml).Yaani kama bia ina ujazo wa ml 500 basi chupa moja iwe na ml 1000 (1lt) ili kwa anayekunywa bia mbili anaagiza chupa moja tu, au chupa moja iwekwe ujazo wa bia tano. Hii itawapunguzia mzigo wahudumu wa nenda rudi, pia mwaweza kunywa na marafiki
Mtani naona unaanza kutuchokoza [emoji23][emoji23][emoji23]Ni kuwa tu kama wasukuma unaagiza full package kumi kwa mkupuo
Kwanza kabisa.Yaani kama bia ina ujazo wa ml 500 basi chupa moja iwe na ml 1000 (1lt) ili kwa anayekunywa bia mbili anaagiza chupa moja tu, au chupa moja iwekwe ujazo wa bia tano. Hii itawapunguzia mzigo wahudumu wa nenda rudi, pia mwaweza kunywa na marafiki