Nashauri vyombo vya sheria visimfunge jela huyu mama Veronica

Nashauri vyombo vya sheria visimfunge jela huyu mama Veronica

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Atafutiwe kazi laini za kufanya zitakazompa riziki, labda akifungwa sana, afungwe miezi miwili, akitoka jela apewe kazi

Hii ni Manslaughter case na Attempted suicide, lakini kwa kesi hii daah, scenario inasikitisha sana, kwa watu tuliowahi pitia umaskini na kushinda njaa plus michongo yote kugoma, Ilhali unajibidiisha kutafuta, tunaelewa maumivu ya umaskini, kufeli na kukosa hela, bora wewe mwenyewe ushinde njaa, inauma sana kuona na watoto wako wakiteseka na njaa Tena mara nyingi..na huwezi wasaidia. Huyu mama hakudhamiria kuua wanae ila njaa ilimlazimisha.

Maadam mkuu wa mkoa wake analijua hilo , naamini hawatakosa Kazi ya kumpatia ya kumfanya apate riziki.

Hio story imenisikitisha sana.

Pia soma > Ugumu wa maisha; Mama anywesha wanae 5 sumu. Wawili wafariki dunia, watatu pamoja naye wanapatiwa matibabu
 
Muache tu afungwe mkuu , ili ajifunze kuwa uhai hauna substitute
 
Atafutiwe kazi laini za kufanya zitakazompa riziki, labda akifungwa sana, afungwe miezi miwili, akitoka jela apewe kazi

Hii ni Manslaughter case Na Attempted suicide, lakini kwa kesi hii daah, scenario inasikitisha sana, kwa watu tuliowahi pitia umaskini na kushinda njaa plus michongo yote kugoma, Ilhali unajibidiisha kutafuta, tunaelewa maumivu ya umaskini, kufeli na kukosa hela, bora ww mwenyewe ushinde njaa, inauma sana kuona na watoto wako wakiteseka na njaa Tena mara nyingi..na huwezi wasaidia..huyu mama hakudhamiria kuua wanae ila njaa ilimlazimisha.

Maadam mkuu wa mkoa wake analijua hilo , naamini hawatakosa Kazi ya kumpatia ya kumfanya apate riziki..

Hio story imenisikitisha sana.

Serikali hii inachojua ni kukamua watu kodi tu:



Mfano wa hii ni juu ya ile ya Mwigulu ya kwenye miamala kwa jambo hilo hilo.

Ng'ombe keshazidiwa ila hao waungwana wana hata habari?

IMG_20211119_091739_123.jpg
 
Nilivosikia ameua watoto nilimuona nimtu waajabu Sana lakini baada ya kuona video yake na watoto wake imenisikitisha Sana Sana na kumfunga Huyo mama nikuwaumiza zaidi watoto wake
 
Atafutiwe kazi laini za kufanya zitakazompa riziki, labda akifungwa sana, afungwe miezi miwili, akitoka jela apewe kazi

Hii ni Manslaughter case Na Attempted suicide, lakini kwa kesi hii daah, scenario inasikitisha sana, kwa watu tuliowahi pitia umaskini na kushinda njaa plus michongo yote kugoma, Ilhali unajibidiisha kutafuta, tunaelewa maumivu ya umaskini, kufeli na kukosa hela, bora ww mwenyewe ushinde njaa, inauma sana kuona na watoto wako wakiteseka na njaa Tena mara nyingi..na huwezi wasaidia..huyu mama hakudhamiria kuua wanae ila njaa ilimlazimisha.

Maadam mkuu wa mkoa wake analijua hilo , naamini hawatakosa Kazi ya kumpatia ya kumfanya apate riziki..

Hio story imenisikitisha sana.
Unashinda kueleza stori nzima kwanza badaye ndo utoe maoni yako, hapo uleweki jifunze uandishi mzuri.
 
Alie Shiba hamjui mwenye njaa, wao hawana wanachochangia kwenye bakuli la Taifa ,ndio mana hawana huruma wala uchungu wa maisha ya wengine, wameamua kuwanyang'anya masikini hata Ile chembe ya mwisho waliyokuwa wanaitegemea,
Maumivu ya njaa ni makali sana hasa ukiwaangalia watoto wako wanavyokulilia na kukuvutavuta
 
Umewahi kufikiri asipofungwa ataishi katika jamii gani?

Sasa mnataka utawala wa sheria halafu hamtaki ifanye kazi. Hukumu ziko mbili tu kuua kwa kukusudia au kutokukusudia. Kama alikusudia mahakama haitosikiliza hizo sababu zingine. Mnataka idadi ya wauaji iongezeke.
 
Muhimu tufikie sehemu, tuondokane na umaskini wa kutupwa.

Makazi, matumizi ya kujikimu, huduma za afya elimu, wapewe Watanzania wote.

Huyu mama apewe therapy. Asaidiwe.
 
Samia atafungwa lini jela kwa kosa la kulea ufisadi unaochezea fedha za walipa kodi katika serikali yake ya CCM?
202112.jpg
 
Back
Top Bottom