Nashauri Wagombea Urais wawe wamepitia Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC)

Nashauri Wagombea Urais wawe wamepitia Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC)

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.

Hii inaweza kufanywa na hata kwa Baraza la Mawaziri.
 
Itasaidiaje?

Mtu yupo ni senior lecturer UDSM na bado anaona majalala, anabeba madumu kwenye ndege kufuata dawa ya Corona Madagascar, majani ambayo yamejaa hapa tz.

Siamin sana ktk hizi elimu, PhD magufuli vs secretary Samia unaonaje?

Magufuli alikuwa na ujinga wa PhD
 
Itasaidiaje?
Mtu yupo ni senior lecturer UDSM na bado anaona majalala....anabeba madumu kwenye ndege kufuata dawa ya Corona Madagascar, majani ambayo yamejaa hapa tz.


Siamin sana ktk hizi elimu, PhD magufuli vs secretary Samia unaonaje?
Magufuli alikuwa na ujinga wa PhD
Waende inaumuhimu elimu ya chuo kilichochakaa cha udsm huwezi kupanga na elimu ya NDC
 
Kama wanavyopelekwa wakuu wa mikoa,wilaya na watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu
Hii inaweza kufanywa na hata kwa baraza la mawaziri
NDC ni nini? Au ni National Development Corporation? Kumbuka siyo kila mmoja atajua hivyo vifupisho vya majina! Unapotoa vifupisho jaribu kuweka Kirefu chake kwenye mabano!
 
Itasaidiaje?
Mtu yupo ni senior lecturer UDSM na bado anaona majalala....anabeba madumu kwenye ndege kufuata dawa ya Corona Madagascar, majani ambayo yamejaa hapa tz.


Siamin sana ktk hizi elimu, PhD magufuli vs secretary Samia unaonaje?
Magufuli alikuwa na ujinga wa PhD
Wenye PhD bongo ni wajinga kuliko darasa la Saba, I think PhD inafifisha level ya ufikiriaji wa mambo
 
NDC ni nini? Au ni National Development Corporation? Kumbuka siyo kila mmoja atajua hivyo vifupisho vya majina! Unapotoa vifupisho jaribu kuweka Kirefu chake kwenye mabano!
National Defense College
 
Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.

Hii inaweza kufanywa na hata kwa Baraza la Mawaziri.
Hamna anaweza kukuelewa humu kaka!Umeongea mambo magumu sana!Kujua umuhimu wa NDC lazima uwe wa level hizo!

Hongera kwa ushauri huu!Ni muhimu sana!Maana tuna viongozi ambao hata ABC za Uongozi hawajui!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
NDC ni nini? Au ni National Development Corporation? Kumbuka siyo kila mmoja atajua hivyo vifupisho vya majina! Unapotoa vifupisho jaribu kuweka Kirefu chake kwenye mabano!
National defence college
 
Hamna anaweza kukuelewa humu kaka!Umeongea mambo magumu sana!Kujua umuhimu wa NDC lazima uwe wa level hizo!

Hongera kwa ushauri huu!Ni muhimu sana!Maana tuna viongozi ambao hata ABC za Uongozi hawajui!


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Muhimu sana maana kama mkuu wa wilaya anaenda short course mkuu wa mkoa basi na wakuu wao wapelekwe ili waweze kuongea lugha moja
 
Hivyo vyama vyenyewe idara zetu lazima zina mikono lakini bado kumejaa madalali na si wazalendo.

Kwanza wa kulaumu ni sisi wenyewe wananchi, sisi wenyewe mafisadi! Tunalea watoto waje kuwa mafisadi pia!

Sisi wananchi tunazalisha watoto wanakuja kuwa wa ovyo kwa malezi ya ovyo alafu kila jambo tunalaani serikali! Hao watu wa ovyo ni product ya serikali au malezi kwanza?

Hao viongozi huko NDC utaondoa nini kichwani kwao wakati ni products za shule na mitaa hii hii? Tuanze kujitafakari wenyewe na familia zetu kwenye kuta za nyumba zetu kabla hatujafikiria mambo ya nje.
 
Muhimu sana maana kama mkuu wa wilaya anaenda short course mkuu wa mkoa basi na wakuu wao wapelekwe ili waweze kuongea lugha moja
Vipi mbona sijawahi kusikia admission za chuo hiki.....[emoji23]
 
Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.

Hii inaweza kufanywa na hata kwa Baraza la Mawaziri.
Ndio inasaidia nini kwani viongozi wengi tu nawajua wanapita huko ila sio waadilifu, watu wamepelekwa hadi JKT
 
Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.

Hii inaweza kufanywa na hata kwa Baraza la Mawaziri.
Ni sawa lkn bora zaidi wangefanyiwa mdahalo ili kuwapima uwezo wao iwe ni sheria
 
Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.

Hii inaweza kufanywa na hata kwa Baraza la Mawaziri.
Wewe umeshapitia hicho chuo? Unajua kinachofundishwa kule ndani? Acha kujihangaisha na vitu usivyovifahamu.
 
Back
Top Bottom