saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Wewe unajua hata maana ya ujinga? Ni bora ungezaliwa mbuzi maana ungeweza kuwa kitoweo.Wenye PhD bongo ni wajinga kuliko darasa la Saba, I think PhD inafifisha level ya ufikiriaji wa mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua hata maana ya ujinga? Ni bora ungezaliwa mbuzi maana ungeweza kuwa kitoweo.Wenye PhD bongo ni wajinga kuliko darasa la Saba, I think PhD inafifisha level ya ufikiriaji wa mambo
Nadhani wewe umedhibitisha definition ya ujinga Kwa ulichonijibu hapa, wewe ndio hopeless na bogu.swe unajua hata maana ya ujinga? Ni bora ungezaliwa mbuzi maana ungeweza kuwa kitoweo.
Tabia ya mlafi/ufisadi haibadiliki hata akipitia chuo chochote cha mafunzo. Sisi wananchi tusikubali visingizio vya viongozi wetu. Kiongozi ameharibu kazi tunasema hajapitia mafunzo fulani. Kiongozi anayeharibu kazi anatakiwa awajibishwe ipasavyo. Kiongozi wa kisiasa anaomba kazi yenye mwenyewe. Kiongozi wa serikalini ndio wanapitia kwenye vyuo mbalimbali ili kuongeza ujuzi na kupandishwa vyeo. Mtu anayeomba nafasi ya uongozi lazima awe anauelewa wa kazi anayoomba, na akiharibu kazi awe tayari kukubali matokeo yake.Kama wanavyopelekwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji wengine nashauri pia watu watakaotaka kugombea Urais baada ya majina yao kupitishwa na tume waende kozi ya NDC hata kwa wiki tatu.
Hii inaweza kufanywa na hata kwa Baraza la Mawaziri.