sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Mimi binafsi naona ni ubabe wa usiofaa wa baadhi ya wanajeshi, mtu anakuja ofisini kwako kavaa kiraia.
Mnafanya biashara vizuri, Ikitokea biashara imeenda kinyume siku akija kueleza matatizo anakuja na kikundi cha wenzake wawili au watatu huku amevalia nguo za kijeshi na vitisho kibao, kwanini uje unitishie? kawa yawezekana wanunue maduka ya wanajeshi wenzao au huko kambini na si kuja kuleta ubabe mtaani.
Mfano kaja na subaru yake kanunua spare, anaenda anafunga kisha baada ya muda anarudi kama mbogo akidai umempa kitu sio kizuri, na haji kwa maelezo mazuri bali ubabe na kikundi cha wenzake.
Kama ulikuja kiraia basi urudi kiraia tuyazungumze, ubabe hausaidii kitu na si kila mtu anakubbali kuonewa kirahisi rahisi.
Mnafanya biashara vizuri, Ikitokea biashara imeenda kinyume siku akija kueleza matatizo anakuja na kikundi cha wenzake wawili au watatu huku amevalia nguo za kijeshi na vitisho kibao, kwanini uje unitishie? kawa yawezekana wanunue maduka ya wanajeshi wenzao au huko kambini na si kuja kuleta ubabe mtaani.
Mfano kaja na subaru yake kanunua spare, anaenda anafunga kisha baada ya muda anarudi kama mbogo akidai umempa kitu sio kizuri, na haji kwa maelezo mazuri bali ubabe na kikundi cha wenzake.
Kama ulikuja kiraia basi urudi kiraia tuyazungumze, ubabe hausaidii kitu na si kila mtu anakubbali kuonewa kirahisi rahisi.