Nashauri wasio kwenye ndoa wasichangie mada za ndoa

Nashauri wasio kwenye ndoa wasichangie mada za ndoa

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Tumekuwa tunapokea changamoto mbalimbalai za ndoa hapa JF.

Hata hivyo kumekuwa na wimbi ka vijana wadogo kuingilia kati na kuchangia kwa hoja yao moja tu; Hapo huna Ndoa au Muache mke/mume. Hii ni kitu cha kusikitisha sana.

Kwani kuna wachangiaji wengi wa masuala ya ndoa ambao hawajaoa au pengine hawana mafunzo yoyote ya ndoa yaliyo rasmi au pengine yale ambayo sio rasmi (uzoefu)

Ningependekeza: Masuala ya changamoto za ndoa yachangiwe zaidi na walioko kwenye Ndoa; wale serengeti boys & girls subirini wakati wao kwani wengi ni wapotoshaji.
 
Duh, Ni sawa na Kusema ambao hawajawai kucheza soka, Wasichambue kandanda na pia Marufuku kuwa Kocha ukiwa hujawai kulisukuma gozi...
Kina Morinyo tungewasikia kwenye Bomba
 
Duh, Ni sawa na Kusema ambao hawajawai kucheza soka, Wasichambue kandanda na pia Marufuku kuwa Kocha ukiwa hujawai kulisukuma gozi...
Kina Morinyo tungewasikia kwenye Bomba
Yaani kwa akili yako unalinganisha maisha ya ndoa na kucheza Mpira, au kucheza bao, au pengine karata; Hiyo michezo yooooote ni ya probability. Ndoa ni kitu chenye serious commitment sio kama mpira/bao nk; ukikua utanielewa.......
 
Yaani kwa akili yako unalinganisha maisha ya ndoa na kucheza Mpira, au kucheza bao, au pengine karata; Hiyo michezo yooooote ni ya probability. Ndoa ni kitu chenye serious commitment sio kama mpira/bao nk; ukikua utanielewa.......
Nahisi unaweza kuwa ni mmoja ya Wale wanaotishaga watu kuhusu ndoa kwa Kauli kama 'ndoa ndoana' ndoa ni gereza la hiari n.k,...sababu tu umeoa/Umeolewa na Mlevi , Malaya n.k...! Ujue Wapo wengi wamepata wenza perfect kulingana na walivyokuwa Wanamuomba Mungu wao.
 
Tumekuwa tunapokea changamoto mbalimbalai za ndoa hapa JF.

Hata hivyo kumekuwa na wimbi ka vijana wadogo kuingilia kati na kuchangia kwa hoja yao moja tu; Hapo huna Ndoa au Muache mke/mume.

Hii ni kitu cha kusikitisha sana.

Kwani kuna wachangiaji wengi wa masuala ya ndoa ambao hawajaoa au pengine hawana mafunzo yoyote ya ndoa yaliyo rasmi au pengine yale ambayo sio rasmi (uzoefu)

Ningependekeza: Masuala ya changamoto za ndoa yachangiwe zaidi na walioko kwenye Ndoa; wale serengeti boys & girls subirini wakati wao kwani wengi ni wapotoshaji.
We umetombewa mke live umemfuma unaambiwa umsamehe na wewe unakubali tu ndio akili unayoitaka hio?
 
Ndoa ni nini? Maana asilimia vijana wengi wapo kwenye aniofisho ndoa, so wanazijua changafire kuliko hata wenye ofisho ndoa
 
We umetombewa mke live umemfuma unaambiwa umsamehe na wewe unakubali tu ndio akili unayoitaka hio?
Wanandoa walikuwa wanakosana toka zamani na wanasameheana vizuri tu na ndo maana ulikuwa unakuta kijana wa mzee flani alizaliwa na mzee flani mume wa mtu mwingine😃😃😃 na wote ni wanandoa na kila mmoja yuko kwene ndoa yake adi wanazikana na mke sio kuzini tu! Adi kuzaa nje.......ndoa sio mahusiano ya boy&girlfriend ndugu kuwa utayaona
 
Muwe na jukwaa lenu kama hamtaki michango yetu.
Mkiwa na jukwaa lenu itatusaidia kujua wakaka wazuri wazuri walio single.

Tofauti na hapo msituchoshe maana hata padre hajaoa ila anafungisha ndoa.

Mkija hospital tunawatibu hata kama mko kwenye ndoa zenu

Mkija mahakamani tunatatua migogoro yenu ya ndoa.

Mkija kanisani tunawaombea wote.bila kujali ndoa zenu.

In short sisi ambao bado, hatukwepeki, some times bila sisi nyinyi mnapwaya.😂😂😂😂
 
Tumekuwa tunapokea changamoto mbalimbalai za ndoa hapa JF.

Hata hivyo kumekuwa na wimbi ka vijana wadogo kuingilia kati na kuchangia kwa hoja yao moja tu; Hapo huna Ndoa au Muache mke/mume.

Hii ni kitu cha kusikitisha sana.

Kwani kuna wachangiaji wengi wa masuala ya ndoa ambao hawajaoa au pengine hawana mafunzo yoyote ya ndoa yaliyo rasmi au pengine yale ambayo sio rasmi (uzoefu)

Ningependekeza: Masuala ya changamoto za ndoa yachangiwe zaidi na walioko kwenye Ndoa; wale serengeti boys & girls subirini wakati wao kwani wengi ni wapotoshaji.
Wachezaji wa akiba wasijaribiwe hata dakika 10?

Acha basi mkuu
 
Back
Top Bottom