Waje tu, hamna kitu......leo katika 'the big ajenda' alloyce nyanda, pamoja na kwenda na vifungu vyake vya katiba, 0 msukuma 3Ngoja waje wasomi Uchwara. Nimekaa pale nawasikiliziaa! Mtoa mada uwe mvumilivu tu kwa hayo mawe utakayorushiwa!
Kabisa, jamaa yuko vizuri sana kichwani.Msukuma akigombea anatoboa tu
labda ashndwe kujiamini
yeah huwa anaongea point sana bungeniKabisa, jamaa yuko vizuri sana kichwani.
Siyo lije jeshihawa wa kukariri vitabu wanatuchelewesha tu, kikubwa wanachokifanya ni kutuonyesha umaridadi wao wa kukariri vitabu tu basi; leo anakuja na maneno yake aliyoyatoa kwa Marx, kesho anakuja nayo ya Mao, keshokutwa ya nyerere, mtondogoo ya trump.......maisha yanaenda hivyo tu bila utendaji, hakuna cha maana, miaka 60+ sasa ya uhuru.
Ni wakati wa watu wenye akili za kuzaliwa na misimamo sasa tusonge mbele.......enough with bookish clever plans!
Kulala saa 12 tatizo....Siyo lije jeshi
Mtu mmoja kama uliowataja,yupo Ikulu mpaka sasa hv,sio msomi wa ngazi yoyote ya juu,ameunga unga tu,sasa anayoyafanya,Mungu pekee anajua,Hawa wa kukariri vitabu wanatuchelewesha tu, kikubwa wanachokifanya ni kutuonyesha umaridadi wao wa kukariri vitabu tu basi. Leo anakuja na maneno yake aliyoyatoa kwa Marx, kesho anakuja nayo ya Mao, kesho kutwa ya Nyerere, mtondogoo ya Trump, maisha yanaenda hivyo tu bila utendaji, hakuna cha maana, miaka 60+ sasa ya uhuru.
Ni wakati wa watu wenye akili za kuzaliwa na misimamo sasa tusonge mbele, enough with bookish clever plans!
Waambie ukweli hawa mandezi!Mtu mmoja kama uliowataja,yupo Ikulu mpaka sasa hv,sio msomi wa ngazi yoyote ya juu,ameunga unga tu,sasa anayoyafanya,Mungu pekee anajua,
Kinana,Kikwete,Mwinyi(Baba)Hawa wote sio wasomi,wengine walikuwa waalimu wa Siasa jeshini,kuwa na shahada moja sio usomi.
Yaani uchukue nchi,umpe msukuma,kibajaji,watu wenye akili kama baba levo?!!
Tulia wewe failure uliye empty headed!Waambie ukweli hawa mandezi!
Naona umepata mwanya wa kutoa, oh sorry, kuonyesha na sio kutoa, chuki zako kwa huyo mtu mmoja aliye ikulu......Pole sana!Mtu mmoja kama uliowataja,yupo Ikulu mpaka sasa hv,sio msomi wa ngazi yoyote ya juu,ameunga unga tu,sasa anayoyafanya,Mungu pekee anajua,
Kinana,Kikwete,Mwinyi(Baba)Hawa wote sio wasomi,wengine walikuwa waalimu wa Siasa jeshini,kuwa na shahada moja sio usomi.
Yaani uchukue nchi,umpe msukuma,kibajaji,watu wenye akili kama baba levo?!!
Kwa usomi ule wa tafsiri zetu......ule wa kufuata mlolongo wa madarasa mpaka graduateMsukuma anasema ana PhD wewe unasema hajasoma! Kipi ni kipi?
oya angalia convo kuna ujumbe wakoSiyo lije jeshi