TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Ni muda sasa wizara zikajitathimini na kuwa wabunifu ili kumsaidia mama kuongeza mapato.
Nilikuwa nashauri serikali kupitia wizara husika kuangalia uwezekano wa kuanzisha utalii watu tukawe tunaenda kutalii chini kabisa ya bahari deep sea bila shaka kutakuwa na utamu wake maana binafsi nimechoka kila siku kuangalia simba wa mbugani.
Nilipata kusoma kwamba chini ya bahari kuna wanyama na samaki pia kuna viumbe ambao waweza kuishi milele very interesting kama kutakuwa na program ya utalii wa chini ya bahari kwenye kina kirefu huko.
Wizara wanaweza kuangalia pia kama wanaweza kuanzisha jumba la makumbusho na masalia ya wanyama wa bahari likajengwa chini ya bahari au kutengeneza tunnel kubwa ya vioo na hotel za chini ya bahari.
Dunia sasa imeenda mbali watu wanaenda kutalii nje ya sayari yetu, sisi bado tupo kwenye utalii wa mbugani basi tujaribu hata wa chini ya bahari na baharini.
Hii itawezesha kuongeza ajira kwa vijana wetu wanaosomea marine, fishing na aquatic science na kada nyingine kama tutaweza jenga mradi kama huu.
Bila shaka wanandoa wengi watapenda kufanya honey moon zao chini ya bahari. Nafikiri hautagharimu pesa nyingi sana.
Ni muda sasa wizara zikajitathimini na kuwa wabunifu ili kumsaidia mama kuongeza mapato.
Nilikuwa nashauri serikali kupitia wizara husika kuangalia uwezekano wa kuanzisha utalii watu tukawe tunaenda kutalii chini kabisa ya bahari deep sea bila shaka kutakuwa na utamu wake maana binafsi nimechoka kila siku kuangalia simba wa mbugani.
Nilipata kusoma kwamba chini ya bahari kuna wanyama na samaki pia kuna viumbe ambao waweza kuishi milele very interesting kama kutakuwa na program ya utalii wa chini ya bahari kwenye kina kirefu huko.
Wizara wanaweza kuangalia pia kama wanaweza kuanzisha jumba la makumbusho na masalia ya wanyama wa bahari likajengwa chini ya bahari au kutengeneza tunnel kubwa ya vioo na hotel za chini ya bahari.
Dunia sasa imeenda mbali watu wanaenda kutalii nje ya sayari yetu, sisi bado tupo kwenye utalii wa mbugani basi tujaribu hata wa chini ya bahari na baharini.
Hii itawezesha kuongeza ajira kwa vijana wetu wanaosomea marine, fishing na aquatic science na kada nyingine kama tutaweza jenga mradi kama huu.
Bila shaka wanandoa wengi watapenda kufanya honey moon zao chini ya bahari. Nafikiri hautagharimu pesa nyingi sana.