Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Acha hiyo hiyo injini ya 14B. Kama unapiga route ndefu za daladala mfano Temeke-Mbezi Mwisho via Malamba Mawili. Tafuta 14B-Turbo,12H-Turbo au 1HZ.
14B inatumia vizuri mafuta na spare zipo kibao. Kama unataka injini yenye maisha marefu na inastahimili shida zote chukua 1HZ.
14B inatumia vizuri mafuta na spare zipo kibao. Kama unataka injini yenye maisha marefu na inastahimili shida zote chukua 1HZ.