Nashindwa kuamua jamanii!

Too bad...ameshakusaidia kuamua tayari!
 
umetupa mawili 1.. anaogopa maisha.. 2.. kapata mwingine,, Fanyia kazi hayo..
 
Mmmm mapenzi haya, tumia akili kuliko hisia. Vinginevyo unaweza ukaumia mpaka ukageuka rangi. Usijalaumu, ilikuwa shule yako hiyo, Mshukuru Mungu muombe msamaha, mkabidhi maisha yako. Wakati ukifika atakupa mume mwema.
 
kiukweli sija do nae wala nini? na hatujamaliza mwaka from when we started relatioship, kwa kuongezea huyo men bado mwanafunzi wa chuo na mi ni mfanyakazi tayari yaani nimegraduate!
 

Nimekumbuka ile thread iliyokuwa inasema 'mwanaume akishammega dem mapenzi yanapungua wakati ndo kwa mwanamke yanaanza'
Uliisomaga?
 
kiukweli sija do nae wala nini? na hatujamaliza mwaka from when we started relatioship, kwa kuongezea huyo men bado mwanafunzi wa chuo na mi ni mfanyakazi tayari yaani nimegraduate!

Mfanyie missing test...
 
Mpotezee tu, achana nae cheki ustaarabu wako, atakuja ambaye atakuwa perfect kwako,
kiukweli sija do nae wala nini? na hatujamaliza mwaka from when we started relatioship, kwa kuongezea huyo men bado mwanafunzi wa chuo na mi ni mfanyakazi tayari yaani nimegraduate!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…