Nashindwa kuelewa hatima ya huyu dada mpangaji

Hawa wanasumbua sana. Na akimla, siku akileta manzi mwingine atamletea fujo halafu pia kuna kutegeshewa mimba. Ni bora ule manzi ya mbali na siyo ya karibu. Yameshanikuta, najuta sana
Mbunye ni ya kawaida sana.
Hizo bahati huwa wanapata wavulana,yani mbunye ya bure unaogopa,tindua mzigo ukiona mazoea yanazidi mwekee wa mbuzi tu
 
Ukae na mwanamke hadi usiku wa manane una ajenda gani, kama humtaki usingekuwa unaenda kwake. Kama huna mpango naye mwambie ila Kama unamtaka komaa....
Yaani unaogopa uchi mkuu😂😂😂
 
Kama huna interest naye kwa nini una entertain matendo ya huyo dada. Nadhani kuna element ya domo zege hapa.
 
So humtaki ila umeshindwa kumwambia like serious na anakupigia simu unaenda ndan kwake.
Hivi kweli wanaume wenzangu tunashindwa kusolve jambo dogo kama hili, umezingua
 
Hili jukwaa mbona hizi siku lina nyuzi za wanaume wa ajabu sana
 

Nasubir baby mama amalize pepa aje akae hta 2 weeks
 
Kama huna interest naye kwa nini una entertain matendo ya huyo dada. Nadhani kuna element ya domo zege hapa.

Hv mtu kakupigia cm anaumwa sana huwez kwenda?? Kumbuka ni jiran kuna vitu lazma tusaidiane ile tusivuke mipaka
 
Hongera sana mkuu nimependa mentality yako. Wewe ni mwanaume wa nguvu yani ni Gentleman unastahili pongezi. Hapa kuna baadhi ya wanaume watakuponda tuu kutafuta kiki kujiona wao ni vidume. Uanaume sio kutwanga kila kinu uanaume ni uvumilivu.
 
Hongera sana mkuu nimependa mentality yako. Wewe ni mwanaume wa nguvu yani ni Gentleman unastahili pongezi. Hapa kuna baadhi ya wanaume watakuponda tuu kutafuta kiki kujiona wao ni vidume. Uanaume sio kutwanga kila kinu uanaume ni uvumilivu.

Amen [emoji120]
 
We nenda kapige mashine... Then ukitoka safisha dushe lako kwa maji tililika na sabuni ya omo au foma... Then ikaushe kwenye stainlizer kwa muda wa dk 5...wasiwasi ukizidi muone dokta mwaka au dokta ndodi
 
Dawa ni kutafuta kazi ya kufanya mkuu.Kukaa kaa idle ndio matokeo yake kuja na thread kama hiz.
Naona hapo umekaa tayar kwa next drama halaf unajifanya hupe😎ndi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…