Nashindwa kuelewa kabisa, sijui hii hali inatokea kwangu pekee au nanyi pia inawatokea!

Nashindwa kuelewa kabisa, sijui hii hali inatokea kwangu pekee au nanyi pia inawatokea!

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Yani mambo yanakwenda kasi sana,toka Magufuli amefariki ni miaka 2 but pamoja na kuwa kwangu Serikali mtu akinishitukiza nitaje majina ya watu hawa au niwatambue kwa sura nitashiwndwa kabisa.

1.Mkuu wa majeshi

2.IGP

3. DG wa TISS

4. Mkuu wa TAKUKURU

5. Mwanasheria Mkuu wa Serikali

6. Katibu wa Bunge.

7. Mtendaji Mkuu wa Mahakama

8. Mawaziri wa Wizara mbalimbali, hapa ndio kabisa natoka kapa-majina niliyonayo kichwani ya Mawaziri ni Mwigulu,January,Nape,Biteko-wengine kuwatambua kwa haraka hadi nianze kuvuta kumbukumbu.

9. Manaibu Waziri ndio kabisa waliopo kichwani ni Ridhiwani Kikwete na Sagini nae kwa sababu ni Mbunge wangu.

Sijui ni Mimi ninapuuzaa kutafuta taarifa,au ni hao watu umuhimu wao unapungua katika Nchi.
 
Hiyo kila Mtu I remember miaka Kama 18 iliyopita nilikua naweza kujua baraza zima la mawaziri na what going on political arena lakini muda huu Serikali imeamua kila Mtu afatilie mpira nadhani sio kosa lako
 
Yani mambo yanakwenda kasi sana,toka Magufuli amefariki ni miaka 2 but pamoja na kuwa kwangu Serikali mtu akinishitukiza nitaje majina ya watu hawa au niwatambue kwa sura nitashiwndwa kabisa.

1.Mkuu wa majeshi

2.IGP

3. DG wa TISS

4. Mkuu wa TAKUKURU

5. Mwanasheria Mkuu wa Serikali

6. Katibu wa Bunge.

7. Mtendaji Mkuu wa Mahakama

8. Mawaziri wa Wizara mbalimbali, hapa ndio kabisa natoka kapa-majina niliyonayo kichwani ya Mawaziri ni Mwigulu,January,Nape,Biteko-wengine kuwatambua kwa haraka hadi nianze kuvuta kumbukumbu.

9. Manaibu Waziri ndio kabisa waliopo kichwani ni Ridhiwani Kikwete na Sagini nae kwa sababu ni Mbunge wangu.

Sijui ni Mimi ninapuuzaa kutafuta taarifa,au ni hao watu umuhimu wao unapungua katika Nchi.
1 umuhimu umepungua
2 wanabadilishwa badilishwa sana
 
Zamanu hat kwenye mitihani walikua wanauliza majina yao na tunapatia sijui ck uZ
 
Yani mambo yanakwenda kasi sana,toka Magufuli amefariki ni miaka 2 but pamoja na kuwa kwangu Serikali mtu akinishitukiza nitaje majina ya watu hawa au niwatambue kwa sura nitashiwndwa kabisa.

1.Mkuu wa majeshi

2.IGP

3. DG wa TISS

4. Mkuu wa TAKUKURU

5. Mwanasheria Mkuu wa Serikali

6. Katibu wa Bunge.

7. Mtendaji Mkuu wa Mahakama

8. Mawaziri wa Wizara mbalimbali, hapa ndio kabisa natoka kapa-majina niliyonayo kichwani ya Mawaziri ni Mwigulu,January,Nape,Biteko-wengine kuwatambua kwa haraka hadi nianze kuvuta kumbukumbu.

9. Manaibu Waziri ndio kabisa waliopo kichwani ni Ridhiwani Kikwete na Sagini nae kwa sababu ni Mbunge wangu.

Sijui ni Mimi ninapuuzaa kutafuta taarifa,au ni hao watu umuhimu wao unapungua katika Nchi.
Utafuatilia wangapi na wakusaidie nini? Na zaidi, kila siku mtu kateuliwa, katenguliwa, huoni ni mzaha fulani unaoendelea serikalini?
 
Zamanu hat kwenye mitihani walikua wanauliza majina yao na tunapatia sijui ck uZ
Teuzi na tenguzi zimezidi, utamjua nani kama sio kuwaonea hao wanafunzi.
 
Back
Top Bottom