Nashindwa kuelewa kwanini majirani wanapenda kugonga / kubisha hodi mlango wa nyuma

Nashindwa kuelewa kwanini majirani wanapenda kugonga / kubisha hodi mlango wa nyuma

Sababu mlango wa mbele uko wazi sana kwakua unagongwagongwa sana na watu wengi ndio mana tunaenda gonga mlango wa nyuma at least unakua unafungwa tait sana.
 
Inategemea mwenye nyumba umeruhusu mlango gani utumike zaidi, kama muda wote mlango wa nyuma upo wazi basi hawana budi kuendelea kutumia mlango huo.
 
Mlango siyo Mlango mpaka uwe umefungwa au kuachwa wazi...
Inawezekana unaacha sana wazi mlango wa nyuma...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom