Nashindwa kuelewa uhusiano uliopo hapa

Nitoe shukrani zangu za dhati kwa wote walionishauri kwa namna moja hama nyingine kuhakikisha afya ya mama angu inatengaa na kuwa sawa nasema tena asanteni na mungu hawabariki sana
 
Mlonge ni mzuri sana, tena unafaida nyingi sana ukianzia na majan, mbegu na hata mizizi yake.
kilicho bora na rahisi kutumia kuliko vyote ni majani yake.

hata akwa watoto wadogo wasopenda kula just make a soup, ya haya majani umuwekee kwenye mlo wake, utaona mtoto anaanza kunawiri.
I have a friend of mine mwane alipata unyafuzi, ambao ulisababishwa na mfumo wa mwili kutokutumia baadhi ya virutubisho mtoto anavyokula. ili mchukua mda kweli hadi dr wa mtoto kugundua kwamba huyu mtoto kila anachokula mwili unakitoa nje. she faced me, nikamwambia naamin may be kuna vimengenya vya mtot ambavyo haviko active, and i don't claim to understand it well but jaribu tu kutumia mlonge uone. tukaanza therapy ya kumpa supu ya majani ya mlonge kila siku 50 ml x 3 kwasiku. Baada ya 7 days appetite ya mtoto iliongezeka na mwili ukaanza kupokea virutubisho vizuri. as am writing here kabinti kako healthier na daktari wake akaamua kuanza kufanya study ya huu mlonge na enzymes activation. naamin akimaliza ata kuja na undani wa hili vizuri zaid.
 
USHAURI MZURI SANA. Sasa mkuu,sisi ambao tuna afya njem,unatushauri tutumie hiyo dawa ya mlonge? Haina side effects? Sorry kwa kuingiza swala hili kwenye huu uzi.
as for me huwa natumia na naona nimekuwa mbali na hosp kwa muda and this applies to my kidoz as well.
ila kwa candidate studies zinaonyesha Indian's have been using it for a decade now na hawajawah kuona side effect except ukitumia mbegu zake kutibu maji ambayo ni chlorinated yanatendence ya kutengeneza disinfectant by products (tri- halomethanes) ambazo ni cancerous
 
Pole ni janga letu sote, kwa majan ya mlonge naamin kabisa maana yana virutubisho aina nyingi na ni kinga pia tiba ya magonjwa aina 90, ukiwa eneo la ukanda wa joto miti hii ni mingi sana chuma majan yake kausha kimvulin halafu waweza sagia kwenye mahindi ya ugali,ulezi wa uji naukipika uji au kudonga ugali ikawa powa tu haina shida au kukoroga kwenye maji ya uvuguvugu glass moja kila siku anywe hata nyie mwaweza tumia haina madhara
 
Lakin pia aweza kwenda kituo cha kutolea huduma hizo akabadilishiwa dawa, maana imetokea kwa wengi hiz dawa kuleta reaction mbalimbali na wakabadilishiwa mambo yakawa vzr hivo huenda tatizo ni dawa
 

Asante dear.. I think the problem inakuja sehemu tunazo practice our job.. Wazungu uwaambie prescription ya Mlonge , Uwiiii kesho unajikuta una case ... Unless FDA waaprove kama walivyo aaprove Bangi na kutry kumake legal... God help us.. So that's why ... Asante Sana.. Thanks..
 
Poleni sana mleta mada na jitahidibufuatebushauribuliopewa mama atakuwa mzima na afya njema Mungu awabariki
 
Niongeze hapo kuna kitu kinaitwa beetroot unaweza pata kwenye supermarket kubwa ni vegetable hlf una changanya na carrot unachemsha unachuja juice au una blend unachuja hivi hivi inasaidia sn tatizo hilo khs mlonge ni utajiri mkubwa San wa virutubisho mwilini home hatuumwi kbs tunashukuru MUNGU ni mti huo wa mlonge kuanzia mizizi, magamba, majani hadi mbegu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…