Nashindwa kuielewa hii...

Nashindwa kuielewa hii...

mzabzab

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
41,878
Reaction score
81,593
Unakuwa mwanaume wa kuchakata mbususu na huna mpango wa kuoa wala nini principle yako ni ya FFF lakini katika kuzila mbususu kuna kuwa na wanawake wenye jina fulani yaani ukikutana nao wewe hufurukuti, ndio wanaokupeleka mbio kweli kweli.

Mie kuna kama wanawake wanne hivi wenye jina Patricia yaani hao najikuta moyo wangu wa FFF beki hazikabi kabisa yaani ata akisema tuma ya kutolea nitatoa tuu ndio mnaachana lakini yaani lazima nitamtafuta tuu.

Sasa nashindwa kuelewa hii ni kwangu tuu au kuna mwengine nae ilishamtokea hii?
 
unakuwa mwanaume wa kuchakata mbususu na huna mpango wa kuoa wala nini. principle yako ni ya FFF lakini katika kuzila mbususu kuna kuwa na wanawake wenye jina fulani yaani ukikutana nao wewe hufurukuti, ndio wanaokupeleka mbio kweli kweli. mie kuna kama wanawake wanne hivi wenye jina patricia yaani hao najikuta moyo wangu wa FFF beki hazikabi kabisa yaani ata akisema tuma ya kutolea nitatoa tuu. ndio mnaachana lakini yaani lazima nitamtafuta tuu. sasa nashindwa kuelewa hii ni kwangu tuu au kuna mwengine nae ilishamtokea hii?
Binafsi hata mimi kuna huyo wa kuuza naye sura mtaani yaani nikipita naye lazima watu wageuke wajiulize maswali
🤔Hivi haka ka kijana kana pesa ya kummiliki huyu demu?????
Kitandani hayupo njema kwa kweli ila basi tu mauzo,
Hata mademu wengine wanaingia king kupitia huyu demu🙄
Mimi simwachi ng'oooo
 
Ni kawaida mkuu

Mfano mimi kuna manzi nimemdanganya hadi jina langu na dini

Kibaya zaidi katokea kunipendaa sanaa nikisema sana namaanisha na mimi najipigia tu sina mpango nae

Shida inakuja nafsi inanisuta yaani namuonea huruma siku nikimkimbia
Usimpe mimba tu bas😭
 
Binafsi hata mimi kuna huyo wa kuuza naye sura mtaani yaani nikipita naye lazima watu wageuke wajiulize maswali
🤔Hivi haka ka kijana kana pesa ya kummiliki huyu demu?????
Kitandani hayupo njema kwa kweli ila basi tu mauzo,
Hata mademu wengine wanaingia king kupitia huyu demu🙄
Mimi simwachi ng'oooo
Aisee..
 
Miaka 60 wameshindwa leta maendeleo wategemee vijana sie ambao ata chingereza hatukijui. Kama kufelinwalifeli wazazi wetu. Mnataka kututupia lawama tuu
Ni kweli lakini mchezo wa kulaumiana hua hauishi.

Hata wewe unaishi kwenye nchi hii hii basi wewe itengeneze coz upo hai na hao unaowalaumu washakufa.
 
Ni kweli lakini mchezo wa kulaumiana hua hauishi.

Hata wewe unaishi kwenye nchi hii hii basi wewe itengeneze coz upo hai na hao unaowalaumu washakufa.

ah wapi niumeze kichwa kutengeneza nchi ambayo siththaminiwi na weye hiyo nchi. acha utani bwana. watu ujituma pale anaona ana kuwa valued. i dnt feel valued.
 
Back
Top Bottom