Nashindwa kuliamini hili suala

My friend wewe muite tu huyo demu , my friend ukishamuita muulize, my friend akisema ni kweli muonye, my friend akikataa nitumie namba yake mimuonye, my friend, my friend, my friend..
We jamaa umefanya nmeacha chakura
My friend
 
Naskia form two muna mitihani ya taifa je mumeshamaliza?? Kama bado toka fasta humu kajiandae.
Kabisaa.Mm hizo "my friend" zilivyojazwa gumo mpaka nikaahirisha kusoma nikarukia kwenye comments
 
Moods ongezen kigezo cha umri kweny ku enroll member wapya maana watt wanakimbia kule fb,unakuta GT tuna argue na wale wako kwny foolish age
Ndio maana wakongwe wanapiga kimyaa.Maana minds zilijaa humu ziko nisu nusu kama sio empty my friend.
 
Mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…