Nashindwa kulielewa hili gari

Nashindwa kulielewa hili gari

Mrejesho;

Leo nimeuza BMW yangu 5 series sh. 4.5 Million na kuongeza pesa nichukue toyota allion jan motors ilinikondesha sana na sasa ni muda wa kurudisha kitambi.
Ongera sana.

Magari ya ulaya ni pasua kichwa kama hautakuwa na fundi mzuri.

Unakuta gari ulilinunua kwa 20mil. alafu unakuja kuuza kwa robo ya bei uliyonunulia.

Huyo aliyenunua sijui kama ataweza kulihudumia gari kama ilo, linaenda kumfia.
 
na jinsi unavyoijali wewe mwenye gari,tofauti na aliyeazima,yeye anaenda na muda,mimi kitu ninachowaazima majirani zangu ni ngazi ya mbao tu.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji38][emoji24][emoji38][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]......
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji38][emoji24][emoji38][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]......
😁😁😁😁
 
Ongera sana.

Magari ya ulaya ni pasua kichwa kama hautakuwa na fundi mzuri.

Unakuta gari ulilinunua kwa 20mil. alafu unakuja kuuza kwa robo ya bei uliyonunulia.

Huyo aliyenunua sijui kama ataweza kulihudumia gari kama ilo, linaenda kumfia.

Ongera sana.

Magari ya ulaya ni pasua kichwa kama hautakuwa na fundi mzuri.

Unakuta gari ulilinunua kwa 20mil. alafu unakuja kuuza kwa robo ya bei uliyonunulia.

Huyo aliyenunua sijui kama ataweza kulihudumia gari kama ilo, linaenda kumfia.
Ilo gari ni zaidi ya nyonya dam nimejitahidi kujikaza ila wapi kanunua dalali sijui atalifanyaje fanyaje maana anadai analimudu
 
Ilo gari ni zaidi ya nyonya dam nimejitahidi kujikaza ila wapi kanunua dalali sijui atalifanyaje fanyaje maana anadai analimudu
Niliwahi kuwa na gari kama hiyo ya mwaka 2009 niliinunua kutoka Japan ikiwa na km kwenye 29,000, nilikuja kuiuza ikiwa na km kwenye 52,000.

Haikuwahi kunisumbua, zaidi ya service za kawaida na kubadilisha break pads pamoja na break pads sensor na pia nilikuja kubadilisha battery baada ya kuitumia kwa takribani miaka 5.

Battery ilkkuwa imeandikwa BMW nikaweka ya Bosch ambayo gharama yake ilikuwa kwenye laki 8.

Sasa hivi nimehamia kwenye Discovery 3.

Uzuri niliponunua hiyo BMW nilinunua na Diagnostic Machine aina ya Autel, kwahiyo kama kuna shida na scan nikipata codes naingia kwenye mitandao napata shule ya codes zenyewe alafu nakwenda garage namwambia fundi fanya hiki na hiki na tatizo linakwisha.
 
Niliwahi kuwa na gari kama hiyo ya mwaka 2009 niliinunua kutoka Japan ikiwa na km kwenye 29,000, nilikuja kuiuza ikiwa na km kwenye 52,000.

Haikuwahi kunisumbua, zaidi ya service za kawaida na kubadilisha break pads pamoja na break pads sensor na pia nilikuja kubadilisha battery baada ya kuitumia kwa takribani miaka 5.

Battery ilkkuwa imeandikwa BMW nikaweka ya Bosch ambayo gharama yake ilikuwa kwenye laki 8.

Sasa hivi nimehamia kwenye Discovery 3.

Uzuri niliponunua hiyo BMW nilinunua na Diagnostic Machine aina ya Autel, kwahiyo kama kuna shida na scan nikipata codes naimgia kwenye mitandao Zapata shule ya coses zenyewe alafu nakwenda garage namwambia fundi fanya hiki na hiki na tatizo linakwisha ila ni fundi.
Cashflow za kuunga unga mkuu mshahara na posho vinaishia kwenye gari
 
kusema kweli naipenda sana hii gari ila imenivunja moyo sana iko vizuri sana kimwonekano ntairudia tu siku moja, naipenda sana interior na body shape nilikua najiona mtu kuiendesha lakini pia niliuziwa kwa exchange na mark x
Duh [emoji849] bmw ni gari ila inahiyaji matunzo na Pesa pia sio ya madafu mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilo gari ni zaidi ya nyonya dam nimejitahidi kujikaza ila wapi kanunua dalali sijui atalifanyaje fanyaje maana anadai analimudu
Bmw hiyo ni gari rahisi sana sema inatakiwa uwe muagizaji wa kwanza maana wengi Tanzania hawafanyi services wao ni kuendesha tu sasa ukikutana nalo utakutana na matatizo ya kumwaga ila BMW 5 au Six ni gari hizo..
 
Ukinunua BMW used toka Japan/Ulaya ni kama umechimba shimo la kufukia hela zako mwenyewe.
 
Ukinunua BMW used toka Japan/Ulaya ni kama umechimba shimo la kufukia hela zako mwenyewe.
Inategemeana ya mwaka gani hiyo used mkuu mbona zipo used za miaka ya karibuni na hazina usumbufu shida ni hiyo miaka ya 2004,5,6 hapo hapana upate used ya 2015 kuendelea X 5 matatizo yake utakuja kuyasikia baada ya kutumia sana gari kinachotusumbua sio magari ni kodi ya TRA ndio maana watu wanaagiza machakavu na kuja kulalamika hapa...
 
Back
Top Bottom