binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
😂😂😂😂 mi sipo, ndugu yetu tunamjua wenyewe.basi tumpe ndugu yetu Mpaji Mungu atamsahaulisha yote yaliyopita😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 mi sipo, ndugu yetu tunamjua wenyewe.basi tumpe ndugu yetu Mpaji Mungu atamsahaulisha yote yaliyopita😅
Utafika mahali pasipo kua na msaada itabidi bakari nondo mwamnyeto atumike mkuu😁😂
Sipashagi makabichii hii
😂 bakari nondo hapana, mali ni nyingi sanaUtafika mahali pasipo kua na msaada itabidi bakari nondo mwamnyeto atumike mkuu😁
Atamfaa sana mleta bandiko, hata kwa kumchekesha tu.😂😂😂😂 mi sipo, ndugu yetu tunamjua wenyewe.
Tatizo unaekutana nae ni x wa x na wa x Square pia .😂 bakari nondo hapana, mali ni nyingi sana
Kikubwa tu sijawahi kuwa nae.Tatizo unaekutana nae ni x wa x na wa x Square pia .
Nipatieni huyo atakua wa mwisho akiniacha bas mapenzi sio fungu langubasi tumpe ndugu yetu Mpaji Mungu atamsahaulisha yote yaliyopita😅
Sure mkuu kikubwa unatafuna.Kikubwa tu sijawahi kuwa nae.
Mi napendaga nikikutana na mdada bas tuanze fresh sitaki kujua nani alikua anamiliki kabla yangu wala sidadisi taarifa yeyoteTatizo unaekutana nae ni x wa x na wa x Square pia .
Mtoto ana mtotoJamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja,napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!!!!!!!.....mtoto anaishi nae.
Pambania green card mkuu ikishindikana jilipue tu , uje ule maisha tu kama ni wa hivyo utafurah sna.Mi napendaga nikikutana na mdada bas tuanze fresh sitaki kujua nani alikua anamiliki kabla yangu wala sidadisi taarifa yeyote
Naperuzi huku nameza notesEphen unafanya nini humu🥲
Nimeona una likes ninacho changia nikasikitika sna .Naperuzi huku nameza notes
Sna❌Nimeona una likes ninacho changia nikasikitika sna .
Watoto wadogo 😊Sna❌
Sana✅
Kwanini umesikitika
Tusimcheke mleta mada itakua bado moyo wake haujazoea matukioWatoto wadogo 😊
Kuna bro Moja aliforce akapenya Dubai akapiga kazi kwenye kampuni akawa mfanyakazi bora akapiga cross training akaomba kazi Biden land akapata mi namaliza chuo yy anaripoti kaziniPambania green card mkuu ikishindikana jilipue tu , uje ule maisha tu kama ni wa hivyo utafurah sna.