Nashindwa Kum - block na kum - unblock X (mpenzi wa zamani) moja kwa moja

Nashindwa Kum - block na kum - unblock X (mpenzi wa zamani) moja kwa moja

Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.

Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!

Mtoto anaishi nae.
Kuna haja Safina la Nuhu kujengwa upya gharika lingne lije,uzao mpya uje tuone na wenyewe utakua na maajabu gan mana kwa hiki kizazi chetu kimeshindikana
 
Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.

Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!

Mtoto anaishi nae.
Sorry, we ni ME au KE?

#YNWA
 
Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.

Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga a view!

Mtoto anaishi nae.
Mwambie mlipoishia ndio hapo, utamsaidia mahitaji ya mtoto. Mbona unajipa kazi ngumu hivo, umkomeshe?? Au umri wako ni mdogo mpaka unaumiza freedom yako hivo

Humhitaji, mwambie hivo, sasa kumblock inakusaidiaje wakati ana mtoto wako. Mwambie huhitaji kuendeleza mahusiano, atakuelewa na utabaki free. Hilo la kumkomesha halijakaa kianaume mbona
 
Back
Top Bottom