Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Umeongea point!Ampotezee jumla miaka 10 ni mingi sana n kujitesa bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea point!Ampotezee jumla miaka 10 ni mingi sana n kujitesa bure
Ila kuna watu n wagumu kumove onUmeongea point!
Hayo mambo anajitakia tu mwenyewe maana huwezi kukaa unamuwaza mtu asie tambua maumivu unayoyapitia, nilioigwagwa na tukio nikasema mapenzi nayapa asilimia ndogo sana na sasa hivi namshukuru Mungu nime move on Tena Sana kwa sababu muda mwingi nawaza kwenye productivityIla kuna watu n wagumu kumove on
Kumove on ni faida sana kwa afya ya akili na moyo wako. Nilichojifunza ni kuwa kama mtu hakuitaji n hakuitaji tu, kumganda ni kujitakia maumivu ya bure tu.Hayo mambo anajitakia tu mwenyewe maana huwezi kukaa unamuwaza mtu asie tambua maumivu unayoyapitia, nilioigwagwa na tukio nikasema mapenzi nayapa asilimia ndogo sana na sasa hivi namshukuru Mungu nime move on Tena Sana kwa sababu muda mwingi nawaza kwenye productivity
Hamna faida yoyoteKumove on ni faida sana kwa afya ya akili na moyo wako. Nilichojifunza ni kuwa kama mtu hakuitaji n hakuitaji tu, kumganda ni kujitakia maumivu ya bure tu.
Jidanganye, we 10 yrs unamsubiria mtu? Hata akirudi atakuwa na hali gani?Hamna faida yoyote
Miaka kumi wapi we dogo?Inakuwaje wakuu,
Hii hali inanisumbua sana nashindwa kumsahau huyu mwanamke niliyekuwa napendana naye kipindi nipo o level. Tulishaachana na yeye alishapata mtu mwingine. Imepita takribani miaka kumi ila bado hatoki kichwani.
Arudi kivyovyote she is my womanJidanganye, we 10 yrs unamsubiria mtu? Hata akirudi atakuwa na hali gani?
Arudi kivyovyote she is my womanJidanganye, we 10 yrs unamsubiria mtu? Hata akirudi atakuwa na hali gani?
Ngoja nifunike kombe mwanaharamu apiteMiaka kumi wapi we dogo?
Mwaka jana tu ndo miaka kumi?
Kenge wewe, jiandae secondary zinafunguliwa ukamalizie advance,
Anyway, jitahidi kumsahau, utakutana na pisi nyingine ukifika IFM, kina Grace Kisaka
If she is your woman mbona hayupo nawe/kwako?Arudi kivyovyote she is my woman
Arudi kivyovyote she is my woman
Bas Mzee yameishaIf she is your woman mbona hayupo nawe/kwako?
Don't force love mkuu
Poa mkuu pole sanaBas Mzee yameisha
Poa poaPoa mkuu pole sana