Nashindwa kumuacha aende

Mkuu ndoa sio kitu cha kukurupuka zichange karata mwenyew .Jfm wanaangalia chura,na mbususu anytime.mi nalea saiz .....Arnold swazniger.......
 
Kuoa mwanamke asiyemcha Mungu ni sawa kujinyonga, hicho kigezo tuu cha kuwa mpangani kinatosha kumwacha. Ndoa ni muunganiko waxwatu wawili wenye kuongozwa na Mungu na kumtegemea yeye maana yeye ndiye mwanzilishi wa ndoa na chanzo cha upendo.
 
Kuoa mwanamke asiyemcha Mungu ni sawa kujinyonga, hicho kigezo tuu cha kuwa mpangani kinatosha kumwacha. Ndoa ni muunganiko waxwatu wawili wenye kuongozwa na Mungu na kumtegemea yeye maana yeye ndiye mwanzilishi wa ndoa na chanzo cha upendo.

Asante kwa ushauri wako murua mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…