Una miaka mingapi?
kuna binti mmoja ni mpenzi wangu kwa sasa,na tangu tuingie kwenye mahusiano karibia tunamaliza miezi sita sasa.kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu binti hataki mimi nimuite majina ya kimapenzi/kimahaba kama vile sweet,baby darling and so forth..BUT yeye anataka nimuite jina lake kama jina lake tu.Sasa mimi hapo kidogo nakuwa nipo dilemma coz nashindwa kumuelewa huyu bint is truly she loves me ? n why mimi hataki nimuite majina ya kimapenzi ,au kuna mtu mwingine anayestahili kumuita majina hayo.NIMEILETA MADA HII KWENU wanajamii wenzangu ili nipate mawazo yenu kuhusu hili suala coz nashindwa kumuelewa.
Hivi Kongosho, siku zote nausikiaga huu msemo "changa la macho"
hakunaga changa la eneo jingine? Mf. Changa la saburi , n. k
kuna binti mmoja ni mpenzi wangu kwa sasa,na tangu tuingie kwenye mahusiano karibia tunamaliza miezi sita sasa.kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu binti hataki mimi nimuite majina ya kimapenzi/kimahaba kama vile sweet,baby darling and so forth..BUT yeye anataka nimuite jina lake kama jina lake tu.Sasa mimi hapo kidogo nakuwa nipo dilemma coz nashindwa kumuelewa huyu bint is truly she loves me ? n why mimi hataki nimuite majina ya kimapenzi ,au kuna mtu mwingine anayestahili kumuita majina hayo.NIMEILETA MADA HII KWENU wanajamii wenzangu ili nipate mawazo yenu kuhusu hili suala coz nashindwa kumuelewa.
Hivi Kongosho, siku zote nausikiaga huu msemo "changa la macho"
hakunaga changa la eneo jingine? Mf. Changa la saburi , n. k
ahhahahaah umenichekesha kweli....
.mtoa mada 'be eyes'
unapigwa changa la macho.
unataka kumpiga chini mkeo??I had the same issue with my wife, kabla hatujaoana alikuwa anapenda Sana kuniita hayo Madudu, Mimi sikuwa napenda maana just felt ni kuiga and it was not real from the heart, I appreciate and like that habit of your gf, it can be that she doenst feel it natural or ril, nawe uwa unasema humaanishi, kisharobaro na ku show off, can I have her phone number please? Just PM me Kama umemchoka, she is 100% invited to talk to me.