Nashindwa kumuelewa huyu mwanaume

Hata picha huioni mkuu, achana nae fanya mambo mengine
 
Mkuu hamna upendo hapo,bali hua anataka kupumzika kwa mda tu pindi apovurugwa na wanaweke zake anaowapnda kwa dhat.
 
Nataka nikushauri pm ila najiuliza maana km umeachia mlango nahisi kumefurika wakipungua nistue
 
hahaaaa''' mkuu mpe namba zangu'' au aje kanisani kwangu nimfanyie maombi" kwajina La yesu mfalme wa Nazareth atapona....

daaahh nyatu nyatu naona umekaribishwa PM ..Daaahh... R.I.P mtoa mada
 
hahaaaa''' mkuu mpe namba zangu'' au aje kanisani kwangu nimfanyie maombi" kwajina La yesu mfalme wa Nazareth atapona....

daaahh nyatu nyatu naona umekaribishwa PM ..Daaahh... R.I.P mtoa mada
Mi siwezi mashuti ya mafichoni ndiyo maana nimewaita mamaster wa kujibanza pm
 
Huyo mwanaume anakupotezea muda, pia anakuchukulia kama mrahisi na kufanya vile anavyojisikia, angalia asije akakudunga mimba akakutelekeza (nadhani unaona jinsi single mothers wanavyotengwa). Nakushauri, kata mawasiliano moja kwa moja na huyo mwanaume na uendelee na maisha yako.


MWISHO, jifunze kuandika.
 
Ni wewe kweli mwenyekiti wa kureffer matatizo kama haya kwa wajumbe, minong'ono ilianza eti unajimilikisha yote wewe tu hauitoi kwa wajumbe waifanyie kazi!.
Lakini asihofu aje PM nimpe ushauri mzuri hata kumliwaza!.
 
Let him go and be free to mingle and meet a new nigga.

He is a man and he has time on his hands to fool around. Don't let him fool you.

Cut him off and move on with your life honey.
 
Let him go and be free to mingle and meet a new nigga.

He is a man and he has time on his hands to fool around. Don't let him fool you.

Cut him off and move on with your life honey.
She isnt ready to move on.
 
Labda tu nikuambie,jamaa hakutaki na hakupendi ila hataki kukuacha kwa style ya kwamba "yeye ndio kazingua". Anachojitahidi sasa hivi ni kutengeneza mazingira ya wewe kuonekana ndio mkosaji. Akili zetu wanaume wakati mwingine tunazijua wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…