anakufaa sana huyo. Hawa wasichana wa maharage ya mbeya siyo ishu. Mwanamke lazima awe na msimamo bwana. Mambo ya kutongozwa leo kesho ameshavua chupi siyo ishu!
as long as hajawahi kukuomba omba hela, yaani taking advantage of you basi anakufaa huyo. Take my words!
Khaaa....akuombe msamaha kwa lipi haswa??!Kukwambia ana mtu ambae sasa hayuko nae tena??!Kuumwa homa kwa kukosa simu na msg zako??!Unashangaza kweli....i like this, maana sijajua inawezekana aliyesema amempenda kampiga kibuti na kwa kumwonyesha kuwa na yeye ni mkali basi karudi kutafuta koloni lake. Mimi sinaye tena akilini, siwezi tena kumwambia nampenda na sijafanya hivyo toka anitamkie kuwa amesha pendwa. Halafu kama yupo serious kweli angeniomba hata msamaha , na kutambua kosa lake, lakini amenyamaza tuu just taking me for granted. Nonononononono, it cant work like this ladies.
Anakufaa sana huyo. Hawa wasichana wa maharage ya Mbeya siyo ishu. Mwanamke lazima awe na msimamo bwana. Mambo ya kutongozwa leo kesho ameshavua chupi siyo ishu!
As long as hajawahi kukuomba omba hela, yaani taking advantage of you basi anakufaa huyo. Take my words!
Nachukia sana watu/mtu anapolazimisha msamaha wakati hajakosewa...na hapa sijaona ulipokosewa na ndo maana umebaki na kuniambia nampenda LIGUE!!mbona ligue sana kihivyo.
Nachukia sana watu/mtu anapolazimisha msamaha wakati hajakosewa...na hapa sijaona ulipokosewa na ndo maana umebaki na kuniambia nampenda LIGUE!!
Yes ..no..yes..no ndio msimamo???Huo ni ubabaishaji.Msimamo ni ule usio na ugeu geu...angeweza sana kuomba muda wa kufikiria hata kama ni miezi na ikitokea akamkubalia baada ya hiyo miezi wasihusiane kimwili baada ya miezi mingine au hata mwaka!Mwanamke lazima awe na msimamo bwana. Mambo ya kutongozwa leo kesho ameshavua chupi siyo ishu! huyu ndio wa kuoaaa,
UNAJUA ulidanganywa au UNAHISI ulidanganywa?!Maana sidhani kama una ushahidi wa hiyo NAJUA yako!!Bado sijaona sababu ya wewe kuombwa samahani!POLE unastahili lakini....itake hio!mie nilimwomba msamaha kwa kutompigia simu, na akaniambia thats ok, and she started feeling happy. Najua alinidanganya kuwa anapendwa.
shauri yakoutamegwa sana ukimbiweYes ..no..yes..no ndio msimamo???Huo ni ubabaishaji.Msimamo ni ule usio na ugeu geu...angeweza sana kuomba muda wa kufikiria hata kama ni miezi na ikitokea akamkubalia baada ya hiyo miezi wasihusiane kimwili baada ya miezi mingine au hata mwaka!
Weka heshima mbele kijana.....shauri yakoutamegwa sana ukimbiwe
Ngoja nikuulize swali my dear. Ivi kwanini inakuwa ngumu sana kwa wasichana hasa wanaojijua kukubali uhusiano kirahisi??. Je unaweza subiri more than a year kupata jibu kwa msichana??.UNAJUA ulidanganywa au UNAHISI ulidanganywa?!Maana sidhani kama una ushahidi wa hiyo NAJUA yako!!Bado sijaona sababu ya wewe kuombwa samahani!POLE unastahili lakini....itake hio!
Kwasababu hawataki kuwa wababaishaji...akubali leo alafu kesho agundue haupo vile alivyozani/ulivyomuonyesha wakati wa kumpigia misele.Ni vizuri mtu akipoteza muda kukusoma kidogo ili akikukubali au akikukataa asiwe na majuto baadae...hivi ndivyo wanavyofanya wao.Naamini hata nyie wanaume kwa wale waoaji hua hawakurupuki tu kumtokea sichana bali anajaribu kumjua kwanza angalau kidogoNgoja nikuulize swali my dear. Ivi kwanini inakuwa ngumu sana kwa wasichana hasa wanaojijua kukubali uhusiano kirahisi??. Je unaweza subiri more than a year kupata jibu kwa msichana??.
Kwasababu hawataki kuwa wababaishaji...akubali leo alafu kesho agundue haupo vile alivyozani/ulivyomuonyesha wakati wa kumpigia misele.Ni vizuri mtu akipoteza muda kukusoma kidogo ili akikukubali au akikukataa asiwe na majuto baadae...hivi ndivyo wanavyofanya wao.Naamini hata nyie wanaume kwa wale waoaji hua hawakurupuki tu kumtokea sichana bali anajaribu kumjua kwanza angalau kidogo‘
Kwahiyo sijajibu swali lako?!Kuchukua muda kumjua mtu kabla ya kutoa maamuzi sio jibu!?Hayo machozi ndo nayasikia leo...hilo waulize wahusika maana mimi sijui!!!Swali ni kwanini inakuwa vigumu kutoa uamuzi hadi mtoe machozi. au na nyie kuna kadomo zege fulani (sorry). Tattizo mnataka kung'ata kwote kwa kila anaye kuja.