PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Childish!
Hivi umeungishwa na gundi kwa huyo dada?
Au umeshauriwa na ukoo kuwa umwoe yeye na unaogopa laana ya wazee?
Mi nadhani mwanaume unakuwa na say ya mwisho..ukiona unakerwa unamtema fasta!
Shida ni kwamba huenda ushatanguliza zawadi mingi, kama fedha, costumes, simu za bei na outing kibao, sasa unapiga hesabu ya gharama!
Hivi umeungishwa na gundi kwa huyo dada?
Au umeshauriwa na ukoo kuwa umwoe yeye na unaogopa laana ya wazee?
Mi nadhani mwanaume unakuwa na say ya mwisho..ukiona unakerwa unamtema fasta!
Shida ni kwamba huenda ushatanguliza zawadi mingi, kama fedha, costumes, simu za bei na outing kibao, sasa unapiga hesabu ya gharama!